Anawalegeza kwanza, kawataja live Mother na Mtoto wao ndio wana haki ya kwenda kumshitaki halafu watakutana huko Mahakamani. Mama na Mtoto wanapigwa Spana kali sanaLissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Kingine ni hiki anapata wapi hizi hela?Who the hell is Abdul?
Mbunge wa Mvumi Mh Lusinde aliwahi kusema ktk wanasiasa waadilifu na wenye uwezo mkubwa na weledi hawezi kuacha kumtaja Tundu Lissu hata kama wanatofautiana kimtazamo.Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".
Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Ndio wapi hapo?Ni jioni lakini kumekucha
Ex Spy mtu wako yupo kila mahali
Mange naye kasema hivyo hivyo Eti Jamaa alimfata Los Angeles....Chawa naona wanaweka kambi humu kushambulia
Zipi zimeshawahi kukufikisha?Tujadili hoja na mambo ya msingi kwenye taifa letu ,siasa za hivi hazitatufikisha popote .
Hakuna mkuu ni utopolo mtupu.Zipi zimeshawahi kukufikisha?
Taarifa zinaonyesha kwamba Chawa wote wanalipwa na AbdulChawa naona wanaweka kambi humu kushambulia
Hapo sawa.Hakuna mkuu ni utopolo mtupu.