Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapenda kuonekana yeye tu kwenye mediaLissu nae mzushi sana, anapenda kudeka kama mtoto wa pekee na wa mwisho.
Mpaka damu masikioni😊!
"kumuonga",Iko wapi hi hbr je hajaijadili humu ?
Kwaninj huyu dogo anataka kumuonga lissu kwa lipi na kwani amuonge pesa ili afaidi nn
Lissu amesema "nimemtimua abduli na pesa zake anazotaka kunipa "
Kwanin Abdul usiwaendee kina mboye why lisu na mange???
DPW connectorWho is Abdul?
Unarukaruka tuHakuna
Mtuhumu ndie atoe ushahidi
Lisu bado anaishi Enzi zile mabwege wa Sheria na polisi wakiosona vitabu vya Sheria edition za zamani
Sasa hivi vijana wadogo wako fit atasubiri sana na Sheria zake za kizee alisoma vi syllabus vilipvyopitwa na wakati wakamfunza ujanja wa kijinga
Yeye ndie azalishe ushahidi kauli zake anazotoa kwenye majukwaa Kuna angle ataingia 18 tu za wanasheria vijana wadogo tu waliosoma new syllabus ya Sheria na kusoma new editions za vitabu vya Sheria