mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
đŸ˜‚đŸ˜‚Anaona bora uhai au sioMkuu hata mvuvi kuna maji akiyaangalia tu anajua busara ni kuacha kuingia ziwani/baharini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
đŸ˜‚đŸ˜‚Anaona bora uhai au sioMkuu hata mvuvi kuna maji akiyaangalia tu anajua busara ni kuacha kuingia ziwani/baharini.
..aliyepotoka ni Abduli na Mama yake.Popote mashtaka mtu aweza peleka ila aweke ushahidi Sio kuwa unaposhtaki Kwa wananchi hutakiwi kuweka ushahidi
Lisu kapotoka
Hajamtaja Raisi Wala mtoto wa Raisi usimlishe manenoMtu ambaye alipigwa risasi na bado anaweza simama jukwaani kumsema rais na mtoto wake hadharani si kama wanaojificha nyuma ya keyboard unamwita muoga? Waoga ni wale keyboard warriors.
Kwani unampangia aseme nini na wakati gani?Kwanini aseme leo. Kwamba alikaa kimya mpaka hapo atakapoishiwa cha kusema au
Duuh hatari mkuu....Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu.
Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
Basi ni sawa tukae humo humo kuwa hakumtajaHajamtaja Raisi Wala mtoto wa Raisi usimlishe maneno
Yeye mikutano yake akimtaja Abdul hasemi mtoto wa Raisi na akimtaja Mama Abdul hasemi ni Raisi Wala mama wa Taifa Wala Nchi yeyote
Acha kuandika jambo bila kufikiri kwanza, inaonesha hata darasani ulikuwa boga. Kwa ujinga wako unaliona swala la rushwa ni kubwa kuliko zile risasi alizopigwa! Kama polisi wamegoma kuchukua hatua zozote kuhusu lile shambulio wataweza kuchukua hatua dhidi ya rushwa? Mkizaliwa wenyewe mjiongeze akili ili jamii isiwaone maboga.Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu.
Unless hujaiona clip yoteKwa msomi anayejielewa anatakiwa anapoongea aweke na evidence sio kuongea tu kama mlevi wa pombe za kienyehi ohh Abdul alitaka kunipa rushwa Abdul Tanzania wako mamilioni wenye Hilo Jina unataka Abdul yupi aende Mahakamani? Lisu anaongea kitoto sana lugha za uswahilini Kwa mashambenga waongea mipasho
Yaani uongeaji wake haupo full weledi kwenye tuhuma haongei Kwa vielelezo vya ushahidi anabweka tu halafu anayebwekea hajulikani halafu anataka huyo asoyejulikana ndie aende atoe ushahidinkana hakutaka kumhonga mbona utoto sana huo
Anageuza jukwaa la siasa kuwa sehemu ya vichekesho
Jukwaa la siasa linataka Watu serious sio comedians kama Lisu alivyogeuka Sasa hivi
HakunaUnless hujaiona clip yote
Kamtaja Abduli mtoto wa rais Samia.
Kaiangalie tena.
Tunasubiri Abduli akanushe
đŸ˜‚ đŸ˜‚ đŸ˜‚ đŸ˜‚Hakuna
Mtuhumu ndie atoe ushahidi
Lisu bado anaishi Enzi zile mabwege wa Sheria na polisi wakiosona vitabu vya Sheria edition za zamani
Sasa hivi vijana wadogo wako fit atasubiri sana na Sheria zake za kizee alisoma vi syllabus vilipvyopitwa na wakati wakamfunza ujanja wa kijinga
Yeye ndie azalishe ushahidi kauli zake anazotoa kwenye majukwaa Kuna angle ataingia 18 tu za wanasheria vijana wadogo tu waliosoma new syllabus ya Sheria na kusoma new editions za vitabu vya Sheria
Hahahajajaj siachi