Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Punishment becomes punishment when it is given immediately after wrong action. Otherwise haitakiwa punishment itakuwa uonevu. Kwank lisu hajasoma kabisa? Nina wasiwasi hata chuo kama kafika au inaweseka alikuwa anadesa mambo ya watu
Jinai haifi
 
Punishment becomes punishment when it is given immediately after wrong action. Otherwise haitakiwa punishment itakuwa uonevu. Kwank lisu hajasoma kabisa? Nina wasiwasi hata chuo kama kafika au inaweseka alikuwa anadesa mambo ya watu
Dogo acha ubwege

Lisu na Pascal Mayala wamesoma Vipaji maalum vya taifa!
 
SASA ulitaka TAL akamshtaki Mwana wa malkia? yaani kabisa mtoto wa namba one ashtakiwe utegemee haki kwenye mahakama zetu? mkuu uwe siriazi basi

..na Abduli akija kukuhonga kwa mambo ya kisiasa ujue katumwa na Maza.

..Ni mjinga ndiye anayeweza kumshtaki Abduli Polisi au Takukuru.
 
Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu.

Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
Kesi ya mbuzi unapelekea fisi,hapo nani boya sasa🤪
 
Basi hajui sheria. Asiwe anatudanganya kwamba yeye ni bingwa wa sheria wakati mambo madogo tu kama haya hajui pa kuanzia
Sahihi aliyekuwa anajua Sheria Tanzania wakati Sio meanasheria na kujua namna ya kutumia Sheria Mahakamani kuleta mabadiliko chanya ni Mtikila tu

Lissu hamna kitu

Mtikila alisababisha Hadi passport kwenda Zanzibar kufutwa alipoiburuza serikali Mahakamani na mwanasheria mkuu wa serikali kumtaka Chama chake kiwe na wanachama Zanzibar ndipo kisajiliwe akagoma kuwa hawezi beba passport arnde agongewe visa Nchi ingine akasake wanachama wa Nchi nyingine toa visa ya Zanzibar au yeyote inayotoa visa iwe uingereza nk

Sharti la kuwa na passport likafutwa

Lisu hajui matumizi ya Sheria kuleta mabadiliko chanya kama Mtikila
 
..na Abduli akija kukuhonga kwa mambo ya kisiasa ujue katumwa na Maza.

..Ni mjinga ndiye anayeweza kumshtaki Abduli Polisi au Takukuru.
Kw hiyo mnamuogopa kama ukoma. Basi nyie ni waoga hamfai kabisa. Mtikila ndo bingwa wa sheria hakuogopa mtu yeyote mpaka rais
 
Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu.

Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
Yani ukamshitaki mtoto wa rais tena tanzania hii ukitegemea polisi watamfanya chochote. Takukuru yenyewe katu haithubutu kumchunguza kigogo yeyote mpaka iagizwe na kigogo aliye na madaraka kumzidi yeye sasa ije Lisu tena kiongozi wa chama pinzani. Mbona kuna waziri aliyesema kuwa aliletewa rushwa na wachina akaikataa mbona hukumuuliza kwanini hakuwaita polisi wawakamate?
 
..kwa taarifa yako Mama Abduli alipata ZERO form 4, leo yuko pale. Nakushauri uache dharau. Kitu cha msingi ktk maisha ni mchango wako kwa familia yako, na nchi yako.
 
Yani ukamshitaki mtoto wa rais tena tanzania hii ukitegemea polisi watamfanya chochote. Takukuru yenyewe katu haithubutu kumchunguza kigogo yeyote mpaka iagizwe na kigogo aliye na madaraka kumzidi yeye sasa ije Lisu tena kiongozi wa chama pinzani. Mbona kuna waziri aliyesema kuwa aliletewa rushwa na wachina akaikataa mbona hukumuuliza kwanini hakuwaita polisi wawakamate?
Basi ingekuwa kweli siku hiyo hiyo angeandik akwenye mitandao ya kijamii au kumpiga picha siyo kuteletea uongo haap
 
..kwa taarifa yako Mama Abduli alipata ZERO form 4, leo yuko pale. Nakushauri uache dharau. Kitu cha msingi ktk maisha ni mchango wako kwa familia yako, na nchi yako.
Kwa hiyo kwako kusoma ni nothing ispokuwa kupayuka tu kama lisu
 
Kuna polisi wa kumkamata Abdul hivi sasa??

Umesahau R1 enzi zake alikuwa anawanasa vibao polisi pale airport alipokuwa akitaka mzigo wake wa ngada upandishwe ndege?

Angalia sasa umesababisha mpk nimemkumbuka Masogange.
 
Back
Top Bottom