Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Operation inaendelea Lumumba hakukaliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaanza kujichosha mapemaAisee! Mwamba kakosa timing au anafikiri yupo ktk kampeni za uraisi.
Kwa msomi anayejielewa anatakiwa anapoongea aweke na evidence sio kuongea tu kama mlevi wa pombe za kienyehi ohh Abdul alitaka kunipa rushwa Abdul Tanzania wako mamilioni wenye Hilo Jina unataka Abdul yupi aende Mahakamani? Lisu anaongea kitoto sana lugha za uswahilini Kwa mashambenga waongea mipashoUshahidi hutolewa mahakamani we bush lawyer.
Huyo Abduli aende mahakamani atapewa ushahidi.Anaogopa nini?
Sasa hivi ukisoma habari za Lisu inabidi utumie na akili zako.Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".
View attachment 3012128
Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Kwanini aseme leo. Kwamba alikaa kimya mpaka hapo atakapoishiwa cha kusema auUsikute nawe au wewe ndiwe mwongo.
Jambo la msingi lingekuwa kumtaka athibitishe alichosema.
Kumbuka watoa-rushwa wengi (hasa hao wabobevu) huwa wana engo fulani za kuzungukia kabla ya tukio lenyewe.
Halafu ukizingatia na nafasi yao serikalini, ndiyo kabisaa!
Nadhani akili yako ingali haijapata uwezo wa kuchekecha haya mambo yanavyofanywa kisayansi gizani.
Basi hajui sheria. Asiwe anatudanganya kwamba yeye ni bingwa wa sheria wakati mambo madogo tu kama haya hajui pa kuanziaSASA ulitaka TAL akamshtaki Mwana wa mfalme? yaani kabisa mtoto wa namba one ashtakiwe utegemee haki kwenye mahakama zetu? mkuu uwe siriazi basi
Kwa nini umpangie muda wa kuongea?Kwanini aseme leo. Kwamba alikaa kimya mpaka hapo atakapoishiwa cha kusema au
Nenda hapo kwenye vibaraza vya Lumumba kawaimbie Lissu hajui sheria uwasikie.Basi hajui sheria. Asiwe anatudanganya kwamba yeye ni bingwa wa sheria wakati mambo madogo tu kama haya hajui pa kuanzia
Mkuu hata mvuvi kuna maji akiyaangalia tu anajua busara ni kuacha kuingia ziwani/baharini.Basi hajui sheria. Asiwe anatudanganya kwamba yeye ni bingwa wa sheria wakati mambo madogo tu kama haya hajui pa kuanzia
Punishment becomes punishment when it is given immediately after wrong action. Otherwise haitakiwa punishment itakuwa uonevu. Kwank lisu hajasoma kabisa? Nina wasiwasi hata chuo kama kafika au inaweseka alikuwa anadesa mambo ya watuKwa nini umpangie muda wa kuongea?
Wassira huwa anamwamkia Tundu Lisu 😂😂😂😂Nenda hapo kwenye vibaraza vya Lumumba kawaimbie Lissu hajui sheria uwasikie.
Hapana mvuvi kamili au .kulima haswa anaface udongo wa aina yoyote kwa mazao tofautiMkuu hata mvuvi kuna maji akiyaangalia tu anajua busara ni kuacha kuingia ziwani/baharini.