gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Amesoma sheria anajua kucheza na maneno
Mkimkaba kuwa Abdul yupi
Anasema tu ni Abdul Wakili
Mkimkaba kuwa Abdul yupi
Anasema tu ni Abdul Wakili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaAmesoma sheria anajua kucheza na maneno
Mkimkaba kuwa Abdul yupi
Anasema tu ni Abdul Wakili
Wewe unayajua mambo vizuri sana,kongole, lissu atarudi bungeniAliyekwambia Lisu atakuwa mgombea Uraisi wa Chadema mwakani nani? Chadema Kuna mtu wanamwandaa
Lisu hata nafasi ya umakamu mwenyekiti safari hii hapati
Takukuru ya mama Abdul?!Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Muongo huyo bahatu nzuri kakutana na rais full of hekima na mweledi vinginevyo angepigwa risasi kama jpm alivyomkosa kosa kwa uongo wakeLive kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".
View attachment 3012128
Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Tumia akili mnembo, ngoja nikusaidie pa kuanzia huyo kijana aliwakilisha............. Na kupiga picha na Rais wa UgandaHuyo Abdul kwani ni nan mkuu?
Aisee machawa kwa hii clip watalala na viatuLive kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".
View attachment 3012128
Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Kwa akili zako huyo mkuu wa takukuru anateuliwa na nani?Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Machawa yote hayatauona ufalme wa Mbingu ,kwa kuliumiza taifa kwa vipande vya SarafuTaarifa zinaonyesha kwamba Chawa wote wanalipwa na Abdul
TAKUKURU ya nani unayoifahamulakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Takukuru hii hii au nyingine? Ule ushahidi wa kina mnyeti kutoka kwa Nassari ulifanyiwa kitu gani ulipopelekwa tena video kabisa? Kama mlifungua DVR kwenye gari yake na CCTV kwenye alipigwa risasi mnapata wapi uhalali wa kudeal na haya mambo?Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Unamuongelea wakili nguli.Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Ushahidi hutolewa mahakamani we bush lawyer.Ulimuona huyo Abdul akienda kwa Lisu? Na Lisu Katoa ushahidi upi akiongea wa kuhibitisha kuwa Abdul alienda Kwake?
Kifupi Lisu anachofanya ni wasoni kupoteza Imani naye kama layman tu wa mitaani ambaye hayuko professional kwenye hotuba zake kageuka kuwa. Mswahili mumbeya tu wa barabarani anayetunga vitu vya uongo asivyoweza kuongwa kwa ushahidi kuithibitishia hadhira anayoihutubia