Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
sasa kama ni hivyo mbona mnamloga?Mbona hakuna spana yeyote anayopiga lisu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kama ni hivyo mbona mnamloga?Mbona hakuna spana yeyote anayopiga lisu.
Uadilifu wa Lisu unaishia kwenye Acacia na MIGA
Huyu Abduli anapewa na nani hizo fedha?Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".
View attachment 3012128
Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Lisu anazungumza mambo ambayo yanafahamika na watu wote.sasackana ni hivyo mbona mnamloga?
Sasa unadhani kwanini Hangaya alimtuma Abdul?Lisu anazungumza mambo ambayo yanafahamika na watu wote.
Ila tofauti yake ni kuwa yeye kama mwanasiasa hiyo ndio platform yake kuyazungumza.
Lakini hana maajabu yoyote ya kupewa rushwa.
Siwezi thibitisha ukweli wa hili jambo.Sasa unadhani kwanini Hangaya alimtuma Abdul?
Kwa hiyo lazima wajitume jukwaani kama wanenguaji wa kikongo?!!Taarifa zinaonyesha kwamba Chawa wote wanalipwa na Abdul
Naona wewe hujui lengo lake ni nini hapo, ndiyo maana huelewi. Hiyo ya "law class 101" naona hata wewe mwenyewe huamini kuwa kweli umeandika hivyo ili uonekane unajibu hoja!Vitu vya kufikirika ambavyo hata ueue ushahidi hajatoa hata wa picha tu anaishi kizanani kuwa anayeona nimemsena aende mahakamani
Ana Mambo ya kitoto ya law class 101 mwaka wa kwanza kipindi Cha kwanza
Ulimuona huyo Abdul akienda kwa Lisu? Na Lisu Katoa ushahidi upi akiongea wa kuhibitisha kuwa Abdul alienda Kwake?Sasa unadhani kwanini Hangaya alimtuma Abdul?
Nenda mahakamaniUlimuona huyo Abdul akienda kwa Lisu? Na Lisu Katoa ushahidi upi akiongea wa kuhibitisha kuwa Abdul alienda Kwake?
Kifupi Lisu anachofanya ni wasoni kupoteza Imani naye kama layman tu wa mitaani ambaye hayuko professional kwenye hotuba zake kageuka kuwa. Mswahili mumbeya tu wa barabarani anayetunga vitu vya uongo asivyoweza kuongwa kwa ushahidi kuithibitishia hadhira anayoihutubia
sawa, ujue huyo mgombea wao wa suprising ataangukia pua nyuma ya mama samia kama wataleta mgombea asiye na mvutoAliyekwambia Lisu atakuwa mgombea Uraisi wa Chadema mwakani nani? Chadema Kuna mtu wanamwandaa
Lisu hata nafasi ya umakamu mwenyekiti safari hii hapati
Bado wanaishi 2010,kuondoka na Kijiji kwa breaking news na udakuTujadili hoja na mambo ya msingi kwenye taifa letu ,siasa za hivi hazitatufikisha popote .
Wasomi wenyewe ndiyo kama wewe usiyejulikana hata na mzazi wake. Msomi uchwara. Unajifananisha na Lisu??Kifupi Lisu anachofanya ni wasoni kupoteza Imani naye kama layman tu
Lisu huyu anayeongea kama layman kuhusu Abdul na mama Abdul Bila kuweka ushahidi anapohutubia usomi hautaki hivyoWasomi wenyewe ndiyo kama wewe usiyejulikana hata na mzazi wake. Msomi uchwara. Unajifananisha na Lisu??
Sasa kama ni hivyo unavyo fikiria wewe, tatizo liko wapi?Ulimuona huyo Abdul akienda kwa Lisu? Na Lisu Katoa ushahidi upi akiongea wa kuhibitisha kuwa Abdul alienda Kwake?
Kifupi Lisu anachofanya ni wasoni kupoteza Imani naye kama layman tu wa mitaani ambaye hayuko professional kwenye hotuba zake kageuka kuwa. Mswahili mumbeya tu wa barabarani anayetunga vitu vya uongo asivyoweza kuongwa kwa ushahidi kuithibitishia hadhira anayoihutubia
Kujulikana sana sio sifa kuwa uko Vizuri sana kichwaniWasomi wenyewe ndiyo kama wewe usiyejulikana hata na mzazi wake. Msomi uchwara. Unajifananisha na Lisu??
Weka andiko lako la kisomi tulioneLisu huyu anayeongea kama layman kuhusu Abdul na mama Abdul Bila kuweka ushahidi anapohutubia usomi hautaki hivyo