Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kwel rabbon mtu wa yesu , tuliombee tu taifa letu kwa damu ya yesu tutashinda .🙏
Yapo ya kuombea,

Wala RUSHWA wanaouza Nchi, Kugawa raslimali Kwa wageni wanatakiwa kunyongwa hadharani.

Sisi KAZI yetu ni kuwasalisha Sala ya TOBA yabla ya kunyongwa!!
 
Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".

Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Anapita kwenye nyayo za baba wa taifa mwl. Nyerere
 
Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".

Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Lissu na Mbowe wake walikula ela za Lowassa na kudiriki kusema list of shame aliyosomwa mwembe yanga na Dk Slaa aliiandika Yeye ilikuwa siyo ya kweli,ulikuwa uongo mtupu,yote hayo ilikuwa kumsafisha Lowassa,tokea hapo Lissu nilimwona mwanasisa wa hovyo na Chadema yake.Ccm hatuipendi ila na upinzani wa hakina Lissu amna kitu wanayumba sana.
 
Back
Top Bottom