Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anasema kuna bango kubwa lipo jijini dar wamepiga picha na mama na hapendi picha hiyo itundikwe kuwa mama anapenda wapinzani. Kasema lishushwe la sivyo atashitaki
 
nahisi tundu lisu ni timu makamba, rostamu &Co. raisi samia haendelei 2025 na ana wa kumwachia tayari, makamu wake na hilo wanalijua, tifu lote liko hapo kwani itavuruga kila kitu mpaka 2025/35 …
 
Uchaguzi mkuu unakaribia, CHADEMA wanaweza kumpumzisha apumzike kuzunguka nchi atachoka na mwakani mbilinge za kampeni zitaanza na kama watampitisha kugombea atatakiwa kutembea tena nchi nzima kuomba kura. Vijana akina sosopi na wenzake wapo waendelee na mikutano hii. Hii nchi ni kubwa inataka mgombea mwenye nguvu za kimwili kuweza kupenya majimbo yote ya uchaguzi. Mheshimiwa Lissu ni bora muda huu akapumzika kuchanja mbunga ili asichoke kwa ajili ya safari ndefu za mwakani kusaka kura
 
Anawalegeza kwanza, kawataja live Mother na Mtoto wao ndio wana haki ya kwenda kumshitaki halafu watakutana huko Mahakamani. Mama na Mtoto wanapigwa Spana kali sana
Mjinga tu Lisu akiburuzwa mahakamani utasikia Mimi sikusema Abdul mtoto wa mama Samia Raisi wa Tanzania na biliposemanMama Abdul nibwapi nilisema mama Abdul ambaye ni mama Samia Raisi wa Tanzania sijasema hovyo anashinda kesi

Kifupiblisu ni mjinga anayecheza na akili za watu wajinga wasiojielewa kama haonaliokuwa akiwahutubia habari za Hela ya za Abnuwasi za Abdul na Mama Abdul

Watu wanashangilia ujinga tu anapotezea watu muda tu
 
Wanasiasa waanze kuongelea vitu vyenye tija kwa taifa, hizi habari za udaku mnatuvunja moyo wapiga kura.!!
 
Uchaguzi mkuu unakaribia, CHADEMA wanaweza kumpumzisha apumzike kuzunguka nchi atachoka na mwakani mbilinge za kampeni zitaanza na kama watampitisha kugombea atatakiwa kutembea tena nchi nzima kuomba kura. Vijana akina sosopi na wenzake wapo waendelee na mikutano hii. Hii nchi ni kubwa inataka mgombea mwenye nguvu za kimwili kuweza kupenya majimbo yote ya uchaguzi. Mheshimiwa Lissu ni bora muda huu akapumzika kuchanja mbunga ili asichoke kwa ajili ya safari ndefu za mwakani kusaka kura
Aliyekwambia Lisu atakuwa mgombea Uraisi wa Chadema mwakani nani? Chadema Kuna mtu wanamwandaa

Lisu hata nafasi ya umakamu mwenyekiti safari hii hapati
 
Lisu anajua akitaja Abdul wako wengi na huwezi kumshtaki, akisema mama Abdul pia hajamtaza saa 100 so anacheza kwa akili sana, ndio maana ziara zake zote anatamka Abdul au mama Abdul
Na wanaomsikiliza wanajuwa ni nani hao anaowataja, si ndiyo!

Sasa hapo kinakosekana kitu gani?
 
Na wanaomsikiliza wanajuwa ni nani hao anaowataja, si ndiyo!

Sasa hapo kinakosekana kitu gani?
Vitu vya kufikirika ambavyo hata ushahidi hajatoa hata wa picha tu anaishi kizanani kuwa anayeona nimemsena aende mahakamani

Ana Mambo ya kitoto ya law class 101 mwaka wa kwanza kipindi Cha kwanza
 
Back
Top Bottom