Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu 'Bush', taarifa yako hii uliipata wapi. Kama ni kweli, basi huyu abdul ni janga!Mange naye kasema hivyo hivyo Eti Jamaa alimfata Los Angeles....
Isije kuwa wanamsingizia mtoto wa watu
Jibu rahisi ni kwamba CCM wanachangishana hadi sasa kwa kisingizio cha "kuchukuwa fomu", kuwa ndiyo hela inayosambazwa; lakini ukweli uko mbali kabisa na hilo!Kingine ni hiki anapata wapi hizi hela?
Unajua unafanya makosa sana kuita wajinga kama hawa. Unamfanya ajione kama mtu muhimu sana.Lucas Mwashambwa, pita na hapa. Mama na Mwanae wanatosha sana 🤣🤣🤣🤣
The King MakerWho the hell is Abdul?
Mjinga tu Lisu akiburuzwa mahakamani utasikia Mimi sikusema Abdul mtoto wa mama Samia Raisi wa Tanzania na biliposemanMama Abdul nibwapi nilisema mama Abdul ambaye ni mama Samia Raisi wa Tanzania sijasema hovyo anashinda kesiAnawalegeza kwanza, kawataja live Mother na Mtoto wao ndio wana haki ya kwenda kumshitaki halafu watakutana huko Mahakamani. Mama na Mtoto wanapigwa Spana kali sana
Aliyekwambia Lisu atakuwa mgombea Uraisi wa Chadema mwakani nani? Chadema Kuna mtu wanamwandaaUchaguzi mkuu unakaribia, CHADEMA wanaweza kumpumzisha apumzike kuzunguka nchi atachoka na mwakani mbilinge za kampeni zitaanza na kama watampitisha kugombea atatakiwa kutembea tena nchi nzima kuomba kura. Vijana akina sosopi na wenzake wapo waendelee na mikutano hii. Hii nchi ni kubwa inataka mgombea mwenye nguvu za kimwili kuweza kupenya majimbo yote ya uchaguzi. Mheshimiwa Lissu ni bora muda huu akapumzika kuchanja mbunga ili asichoke kwa ajili ya safari ndefu za mwakani kusaka kura
kuna taasisi ya kupambana na rushwa hapa? Labda za kuwakamata walimu, na polisi wadogo wadogo tu.Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Na wanaomsikiliza wanajuwa ni nani hao anaowataja, si ndiyo!Lisu anajua akitaja Abdul wako wengi na huwezi kumshtaki, akisema mama Abdul pia hajamtaza saa 100 so anacheza kwa akili sana, ndio maana ziara zake zote anatamka Abdul au mama Abdul
Vitu vya kufikirika ambavyo hata ushahidi hajatoa hata wa picha tu anaishi kizanani kuwa anayeona nimemsena aende mahakamaniNa wanaomsikiliza wanajuwa ni nani hao anaowataja, si ndiyo!
Sasa hapo kinakosekana kitu gani?
Mbona hakuna spana yeyote anayopiga lisu.ili asipige Spana