min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Huyo Abdul kwani ni nan mkuu?Taarifa zinaonyesha kwamba Chawa wote wanalipwa na Abdul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Abdul kwani ni nan mkuu?Taarifa zinaonyesha kwamba Chawa wote wanalipwa na Abdul
Angechelewa kusema bado ungesema kwa nini hakusema zamani!Aisee! Mwamba kakosa timing au anafikiri yupo ktk kampeni za uraisi.
Na yule wa simba kasema wanalipwa sana. Ila hajasema wanalipwa na naniTaarifa zinaonyesha kwamba Chawa wote wanalipwa na Abdul
Peoples!!!! Poweeerr!!!!✌️✌️✌️SPANA ziendelee😄Live kutoka viwanja vya stendi ya zamani Singida mjini, kipenzi cha watu na rais wa wananchi Tundu Antipas Lisu amefunguka na kusema alimtimua Abdul alipompelekea rushwa na kumwambia "shenzi kahonge wanaohongeka".
Hakika Lisu ni mwadilifu mno huyu mwamba. Anastahili kuwa rais 2025. Na njia iko wazi kwake.
Naona Abdul atakuwa maarufu sana kuliko Ridhiwan alivyokuwa maarufu enzi za Jk.Damage ya risasi huwa inaingia kichwani
Ila tunapaswa tuwe smart sana hawa mbwiga wanapenda tuimbe pambio moja na wao .Hapo sawa.
Abdul ni mmoja tu hii Tanzania sasa hivi na anasumbua kupita hata wakina Riz Moko enzi zileHuyo Abdul kwani ni nan mkuu?
Hapana mkuu, kipindi hicho personal attacks huwa zina mashiko. Rejea push up za Magu dhidi ya Lowasa.Angechelewa kusema bado ungesema kwa nini hakusema zamani!
Pushapu hazikuleta impact yoyote bali wizi wa kura.Hapana mkuu kipindi hicho personal attacks huwa zina mashiko. Rejea push up za Magu shidi ya Lowasa.
Lisu anajua akitaja Abdul wako wengi na huwezi kumshtaki, akisema mama Abdul pia hajamtaza Samia so anacheza kwa akili sana, ndio maana ziara zake zote anatamka Abdul au mama AbdulIla jamaa anajuaga kuwachota akili wajinga. Kwaakili ya kawaida tu anachosema hakiwezekani. Labda kama anamaanisha Abdul mwingine.
Kwa alichosema huwezi kujua ni Abdul yupi aliyepeleka rushwa, waropokaji wengine wajifunze kwa huyu jamaa anadanganya uongo ambao hauwezi kumtia hatiani.
Ukilema wako hatukuelezi.Utaanza kujiliza kwa kwikwi barabarani.Ukilema huwa unaingia kichwani,stability inapotea
Watu wengi waliamini Lowasa ni mgonjwa.Pushapu hazikuleta impact yoyote bali wizi wa kura.
Ndiyo maana mmoja alikufa kwa ugonjwa na wa pili uzee.Watu wengi waliamini Lowasa ni mgonjwa.
Note: siwezi prove statistically
Unaweza vipi kulisogeza Taifa mbele bila kukemea na Kupambana na RUSHWA?Tujadili hoja na mambo ya msingi kwenye taifa letu ,siasa za hivi hazitatufikisha popote .
Hahaha.....dahPushapu hazikuleta impact yoyote bali wizi wa kura.
Ni kwel rabbon mtu wa yesu , tuliombee tu taifa letu kwa damu ya yesu tutashinda .🙏Unaweza vipi kulisogeza Taifa mbele bila kukemea na Kupambana na RUSHWA?