Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimekuuliza swali, hivi Tanzania hii unaweza kumshataki mtoto wa rais polis au takukuru wakaja kumkamata?
Ndiyo inawezekana. Kama mtu tinayeambiwa ni mwanasheroa nguli naye anaogopa sasa wengine itakuwaje. Nini maana ya kusoma sheria kama we ni mwoga unakuja kubweka tu kwenye majukwaa?
 
Kuna polisi wa kumkamata Abdul hivi sasa??

Umesahau R1 enzi zake alikuwa anawanasa vibao polisi pale airport alipokuwa akitaka mzigo wake wa ngada upandishwe ndege?

Angalia sasa umesababisha mpk nimemkumbuka Masogange.
Sasa kama mpaka wanasheri wanamuogopa Abdul je wasiosoma sheria. Sasa nani aondoe hizi impurities au woga kama siyo wasomi. Hivi lisu alifika hata chuo kweli
 
Ndiyo inawezekana. Kama mtu tinayeambiwa ni mwanasheroa nguli naye anaogopa sasa wengine itakuwaje. Nini maana ya kusoma sheria kama we ni mwoga unakuja kubweka tu kwenye majukwaa?
Sheria gani ambazo hata viongozi wa CCM akiwemo makonda na waziri Slaa anasema majudge ni wala rushwa. Tena hayo yanasemwa na viongozi wa CCM wenyewe sasa kama mhimili wa kusimamia sheria na kutoa haki hata viongozi wa serikali ya CCM hawauamini, kwanini Lissu anapaswa kuuamini?
 
Sioni kama analazimika kwenda kutoa ripoti Polisi! Kule kukataa kupokea rushwa amezuia Rushwa kutendeka!
Vipi angekuwa wewe ungeacha huo mgao?
 
Sheria gani ambazo hata viongozi wa CCM akiwemo makonda na waziri Slaa anasema majudge ni wala rushwa. Tena hayo yanasemwa na viongozi wa CCM wenyewe sasa kama mhimili wa kusimamia sheria na kutoa haki hata viongozi wa serikali ya CCM hawauamini, kwanini Lissu anapaswa kuuamini?
Mbona Mtikila aliwezakuishtaki serikali several times na alishinda kesi nyingi tu. The only problem ni kwamba wasomi wa sheria wameshakufa tumebaki na wababaishaji kama akina lisu
 
Sasa kama mpaka wanasheri wanamuogopa Abdul je wasiosoma sheria. Sasa nani aondoe hizi impurities au woga kama siyo wasomi. Hivi lisu alifika hata chuo kweli
Hajamuogopa. Kamtimua na tusi juu....shenzi
 
Mbona Mtikila aliwezakuishtaki serikali several times na alishinda kesi nyingi tu. The only problem ni kwamba wasomi wa sheria wameshakufa tumebaki na wababaishaji kama akina lisu
Ni zama zile, na hatukuwahi kusikia kiongozi yeyote wa serikali kama waziri akisema kuwa hana imani na mifumo ya kutoa haki. Sasa zama hizi hadi kiongozi wa chama tawala anasema kuwa ukidhulumiwa usiende mahakamaninkumejaa wala rushwa tafuta haki yako kivingine. Mwingine waziri anasema kwua mahakimu wanashirikiana na watu kutotenda haki. Sasa kwanini Lissu aamini vyombo hivyo ambavyo hata wana CCM wenye vyeo vikubwa hawaviamini zama hizi.
 
.
..anaweza kushtaki Polisi.

..anaweza kushtaki kwa wananchi.

..hajavunja sheria yoyote ile.
Popote mashtaka mtu aweza peleka ila aweke ushahidi Sio kuwa unaposhtaki Kwa wananchi hutakiwi kuweka ushahidi

Lisu kapotoka
 
Hata uwe lawyer kama mfumo wa utoaji haki ni corrupt ina maana haufuati sheria wala ushahidi hauwezi kufanya kazi. Vitu vinafanya kazi kama mfumo uko sawa kama hauko sawa hauwezi kufanya kazi kila kitu kitafail. Ni sawa uwe daktari mzuri ila hakuna vifaa tiba.
Na hizo tuhuma za kua mfumo wa kusimamia na kutoa haki uko corrupt, hatujasikia akitoka kiongozi wa huo mfumo kuwapinga au wao kufukuzwa kwa kusema uongo. Hivyo ni kuwa wanakubali kuwa mfumo uko corrupt. Sasa kama serikali ya CCM haiamini mifumo yake kwanini mpinznai auamini?
 
Tutakuwa na uhakika gani kama aliukataa mgao
Yule aliyempa ajiandae kutoa ripoti Polisi sasa ijulikane kama alimpa Lissu rushwa!
Maana katika kesi ya Rushwa lazima aliyetoa na aliyepokea wote wakiri kuwa walifanya hivyo! Mmoja akikataa hapo hakuna kesi.
Kwa hiyo hata Lissu angeenda kuripoti Polisi kama aliyempa rushwa atakataa hapo hakuna kesi.
 
Hata uwe lawyer kama mfumo wa utoaji haki ni corrupt ina maana haufuati sheria wala ushahidi hauwezi kufanya kazi. Vitu vinafanya kazi kama mfumo uko sawa kama hauko sawa hauwezi kufanya kazi kila kitu kitafail. Ni sawa uwe daktari mzuri ila hakuna vifaa tiba.
Na hizo tuhuma za kua mfumo wa kusimamia na kutoa haki uko corrupt, hatujasikia akitoka kiongozi wa huo mfumo kuwapinga au wao kufukuzwa kwa kusema uongo. Hivyo ni kuwa wanakubali kuwa mfumo uko corrupt. Sasa kama serikali ya CCM haiamini mifumo yake kwanini mpinznai auamini?
Basi wajiuzuru siasa maama kila kitu wao ni waoga. Sasa kwa nini wanaendelea kizurula, wanatafuta nini. Micango au
 
Yule aliyempa ajiandae kutoa ripoti Polisi sasa ijulikane kama alimpa Lissu rushwa!
Maana katika kesi ya Rushwa lazima aliyetoa na aliyepokea wote wakiri kuwa walifanya hivyo! Mmoja akikataa hapo hakuna kesi.
Kwa hiyo hata Lissu angeenda kuripoti Polisi kama aliyempa rushwa atakataa hapo hakuna kesi.
Sasa kama.hajui sheri kwa nini anawaaminisha watu kuwa ni mwanasheria
 
Angalia hiyo video hapo. Mpk alimtusi ......shenzi!!
Mjanja tu huyo angeweza mtukana tukana tusi lolote sababu ni Abdul asoyejulikana hakumfafanua ni Abdul Gani shenzi type

Lisu anachofanya ni ujinga tu wa kisheria

Hata huyo mama Abdul angeweza mporomoshea matusi ya nguoni lakini ni Mama Abdul asoyejulikana hajamfafanua kwenye hadhira
 
Basi wajiuzuru siasa maama kila kitu wao ni waoga. Sasa kwa nini wanaendelea kizurula, wanatafuta nini. Micango au
Mtu ambaye alipigwa risasi na bado anaweza simama jukwaani kumsema rais na mtoto wake hadharani si kama wanaojificha nyuma ya keyboard unamwita muoga? Waoga ni wale keyboard warriors.
 
Yule aliyempa ajiandae kutoa ripoti Polisi sasa ijulikane kama alimpa Lissu rushwa!
Maana katika kesi ya Rushwa lazima aliyetoa na aliyepokea wote wakiri kuwa walifanya hivyo! Mmoja akikataa hapo hakuna kesi.
Kwa hiyo hata Lissu angeenda kuripoti Polisi kama aliyempa rushwa atakataa hapo hakuna kesi.
Mpokeaji akitoa ushahidi kuwa alitaka kuhongwa mtoaji anakomaliwa .Lisu atoke ushahidi hadharani wa huyo Abdul kutaka kumhonga na amfafanue vizuri ni Abdul yupi.Yeye ndie atoe ushirikiano kama kweli hapendi rushwa
 
Back
Top Bottom