Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siasa ni michezo ya maslahi tu hivyo wapo wanaorubuniwa na kukubali na wengine kukataa, na kusema hadharani ni chaguo la mtu kulingana na target zake.
 
Iko wapi hi hbr je hajaijadili humu ?

Kwaninj huyu dogo anataka kumuonga lissu kwa lipi na kwani amuonge pesa ili afaidi nn

Lissu amesema "nimemtimua abduli na pesa zake anazotaka kunipa "

Kwanin Abdul usiwaendee kina mboye why lisu na mange???
"kumuonga",
"mboye".
"amuonge".
Anza na shule ukimaliza darasa la saba malizia kwenye madrasa.
 
Mwishoni anasema ameona gari linmfatilia. Huyo ndugu anaanda mazingira ya kuondoka hapa nchini. Kesho utasikia kuna watu watatu amewaona dirishani wanachungulia
 
Hakuna

Mtuhumu ndie atoe ushahidi

Lisu bado anaishi Enzi zile mabwege wa Sheria na polisi wakiosona vitabu vya Sheria edition za zamani

Sasa hivi vijana wadogo wako fit atasubiri sana na Sheria zake za kizee alisoma vi syllabus vilipvyopitwa na wakati wakamfunza ujanja wa kijinga

Yeye ndie azalishe ushahidi kauli zake anazotoa kwenye majukwaa Kuna angle ataingia 18 tu za wanasheria vijana wadogo tu waliosoma new syllabus ya Sheria na kusoma new editions za vitabu vya Sheria
Unarukaruka tu
Aliyechafuliwa ndiye akashitaki
Lissu kashamaliza
"Abduli mtoto wa rais Samia alitaka kunihonga nikamtimua"
Halafu wewe nawe ni bush lawyer,eti sheria mpya!!
So you think laws of the land zinapobadilishwa yeye hasomi amendments na repealed laws!
Una kibachela chako cha sheria cha kudesa na hata ukumbi wa mahakama hujawahi kukanyaga unajiita msomi wa sheria
 
Back
Top Bottom