Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Uchaguzi 2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja!
emoji1548.png
emoji1548.png
emoji1548.png
emoji1534.png
emoji1534.png
emoji1545.png
emoji1548.png
emoji2827.png
emoji818.png
emoji818.png
emoji818.png
emoji818.png
 
Kwa kuaanza ku over see kila possibility ya kukwamisha huwezi kufanya kampaini, kumzuia lissu kutofika Dar kwenye mkutano huo wahamisho kwa vikwanzo vya TCAA ni faida kubwa kwake katika kampeini kuliko kuhudhuria hicho kikao
Leo si ndio Dday, hivi kweli mlidhani vitu vitaenda smoothly kama kawaida? Ilitakiwa tangu jana awepo Dar, tena kwenye handaki futi 500 kwenda chini, ambako hata bunkerbuster haipenyi...
 
Hawa mashetani wa kijani ccm ni majini wa hovyo haijawahi kutokea wanatujaza tu hasira but they have to know that the clock is ticking, dooms hours are at the door.
 
Back
Top Bottom