rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Afanye mkitano online tuko kwenye dunia ya digital
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa kiume unabana pua unasema "who knows" utakuja kupata mzee humu ujifungueSawa tunawasubiri, labda mtafika salama, who knows ?
Lzm atue dar leo, aliweza kwenda ukerewe pamoja na kumnyima ferry sembuse hii ya kuja dar,Kwanini hamkuoversee hii possibility,,?,ndo maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza,hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
Kwanini hamkuoversee hii possibility,,?,ndo maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza,hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
Hayo manenowamepaa bila kibali
Apige online liveUkifanye hivo pilot anafungiwa kutoendesha tena nchini
Yaani wewe, ni zaidi ya KUWASHWAA!Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Leo si ndio Dday, hivi kweli mlidhani vitu vitaenda smoothly kama kawaida? Ilitakiwa tangu jana awepo Dar, tena kwenye handaki futi 500 kwenda chini, ambako hata bunkerbuster haipenyi...Kwa kuaanza ku over see kila possibility ya kukwamisha huwezi kufanya kampaini, kumzuia lissu kutofika Dar kwenye mkutano huo wahamisho kwa vikwanzo vya TCAA ni faida kubwa kwake katika kampeini kuliko kuhudhuria hicho kikao
Sawa tunawasubiri, labda mtafika salama, who knows ?
Hili litatimia soon, Mungu ni wa haki, kama yeye ni wa haki anataka na wewe utende haki usionee.Mwenyezi Mungu,ikukupendeza ,tuondolee huyu mtu ambae ni chanzo cha yote haya.
Hofu labda rubani kufungiwa.Lkn hofu ya nn Hali mtesi atokuwepo tenaHilo Anga sio la Magufuli Hilo ni Anga la Watanzania