Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
AiseeAkiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiomve haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.
View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc
NakaziaHii nchi inahitaji katiba mpya haraka kuliko nilivyofikiri.
Ukisikiliza vizuri hiyo clip ni kwamba haki imekuwa hisani.
HEEEEEHEEEEeeee!Hii nchi inahitaji katiba mpya haraka kuliko nilivyofikiri.
Ukisikiliza vizuri hiyo clip ni kwamba haki imekuwa hisani.
"LUGHA YA STAHA" inasisitizwa. Hata katika kuyaelezea hayo "mengi yajayo"!Kuelekea 2025 Tutaendelea kuanika siri nyingi za aibu ili watu wapime wenyewe
Yako ya Aibu zaidi yanakuja
Zimetoka kwenye kurusha risasi kuua na kupotezana, hadi sasa kuhimizana kutumia "lugha za staha" hata katika mambo yasiyokuwa ya staha! Hizo unaziita "Siasa za Tanzania"!😄
Siasa za Bongo bhana
Kwa mfano ungetaka nini ili kama proofHOW CAN WE PROVE THIS LONGOLONGO FALSE MYTH, FOR CHEATING KINDERS
Maza ni mpenda sifa haswaAkiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiombe haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.
View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc