Pre GE2025 Lissu aeleza alivyotembelewa na Abdul mtoto wa Rais

Pre GE2025 Lissu aeleza alivyotembelewa na Abdul mtoto wa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiombe haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.


View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc
 
Hii nchi inahitaji katiba mpya haraka kuliko nilivyofikiri.
Ukisikiliza vizuri hiyo clip ni kwamba haki imekuwa hisani.
HEEEEEHEEEEeeee!

Hiyo ndiyo "LUGHA YA STAHA" inayohimizwa!
Usidai kutendewa HAKI,bali omba kwa lugha ya staha, ugawiwe kwa hisani haki yako.
 
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiombe haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.


View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc

Maza ni mpenda sifa haswa
 
Back
Top Bottom