Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiombe haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.
View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc
View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc