Kumbe?Ndiyo alimpulizia pumzi ya uhai.The last time I checked,kwenye biblia kitabu cha Genesis sijaona jina Mbowe kuumba watu.Natania.Bila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Wameshikwa pabaya na Lissu hoja zao haziwezi wasaidia.Kumbe?Ndiyo alimpulizia pumzi ya uhai.The last time I checked,kwenye biblia kitabu cha Genesis sijaona jina Mbowe kuumba watu.Natania.
Misukule ya mzee Mbowe hadi inatia huruma ,hamkawii kusema kuwa huyu mzee nduo aliemsomesha Lissu hadi chuo kikuuBila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!
Mbowe must GO ,tunahitaji taasisi na sio kikundi cha kikabilaIla inaonekana kuna CCM behind the scene kwenye hii movement ya lisu
Jitu limenenepeana hadi linaitwa Yai na bado linaona ni sifa 🙆♂️🙆♂️,Kinachonishangaza ni hao machawa kina Martin na Boniyai aisee hadi aibu nilikua najua ni watu wa maana kumbe ni takataka tu
Chawa namba moja yule kichaa wa Arusha Lema hatujamsikia akitoa povu aiseeKinachonishangaza ni hao machawa kina Martin na Boniyai aisee hadi aibu nilikua najua ni watu wa maana kumbe ni takataka tu
Mbowe MUST GOCha muhimu tusubiri vikao na maamuzi ya wanachama vikamilike.
Ila kwa maoni yangu, Lissu anaweza kuwa mtendaji mzuri Lakini sio Kiongozi mzuri.
Wakati ni mwalimu mzuri
Usimfananishe mtu anaetembea na risasi mwilini sababu ya CCM na vitu vya ajabu..uwe unafikiri kabla ya kuandikaUpinzani wa Tanzania ni wa kipekee sana! Hapa ukiunganisha dot unaona kabisa kitakachoenda kutokea...Lissu, Msigwa, wote team moja etc. CCM itatawala miaka mingi sana ijayo. Hakuna wa kuikaribi CCM kwa sasa labda itokee huko baadaye sana waharibu wenyewe wajukuu zetu...
Polisiccm ndio bado wapo ila chama ccm kilishakufa siku nyingi sanaUpinzani wa Tanzania ni wa kipekee sana! Hapa ukiunganisha dot unaona kabisa kitakachoenda kutokea...Lissu, Msigwa, wote team moja etc. CCM itatawala miaka mingi sana ijayo. Hakuna wa kuikaribi CCM kwa sasa labda itokee huko baadaye sana waharibu wenyewe wajukuu zetu...
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene.Bila mwamba Mbowe saa hizi Lissu angekuwa shimo la Tewa !!