Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kuna wanaoletwa na malori na kulazimishwa na wanao kuja wenyewe kwa hiyari yao.Picha za kubumba angalia hapa Baba Lao mapokezi wala siyo mkutano hapo Mwanza leo
View attachment 1560888View attachment 1560889
View attachment 1560891
Aise ina maana nilichoandika UTV siyo sahihi, maana nimeona ni level ya udiwani alooHii hali ya leo nimekumbuka kipindi kile Mtwara tumetangaziwa kutakuwa na Tetemeko, yaani kwa kifupi tu leo Mji wote hakukuwa na movement ambazo tumezoea yaani mji na watu karibia wote walihamia viwanja vya Sabasaba.
Watu wa Magomen, Nkanaled, Sokosela, Mdenga, Kiyangu na hata watu wa Naliendele walikuwepo Sabasaba. Kibaya zaidi watu wengi walitembea kwa miguu kwenda mkutanoni.
kimbunga lissu 2020 kitaleta madhara makubwa , shikamo mtwaraWewe ni mbishi kama Kenge, mpaka utolewe damu masikioni ndio ukubali.
Ona majibu yako haya.
Uongo wa hali ya juu ngoja tukuletee ya leo huko Mtwara wenzako walishaiweka humu.Wewe ni mbishi kama Kenge, mpaka utolewe damu masikioni ndio ukubali.
Ona majibu yako haya.
Too much exaggerated story, hivi Kuna mtanzania anakaa kabisa kumsiliza lisu? Kikubwa anachohubiri ni yale yale kuwa mwili wake umejaa alama za risasi basi hana anachoahidi kwa watz tusubiri sanduku la kura uone atakavyoangukia puaHii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini...
Kwani kwenda kusikiliza sera ndo kuwa mfuasi wa chama,hujui naweza kwenda mikutano yote na nikabaki na msimamo wangu.Maendeleo kwanza majaribio baadaeHapo patamu akajionee aibu yake kule. Nimetokea huko. Ajiandae aibu ya mwaka. Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Bora kuangukia pua kuliko sehemu za siriToo much exaggerated story, hivi Kuna mtanzania anakaa kabisa kumsiliza lisu? Kikubwa anachohubiri ni yale yale kuwa mwili wake umejaa alama za risasi basi hana anachoahidi kwa watz tusubiri sanduku la kura uone atakavyoangukia pua
Wanamsikiliza wasukuma mkuu usijali kwa hilo wtz hawamsikilizi😈😈😈😈Too much exaggerated story, hivi Kuna mtanzania anakaa kabisa kumsiliza lisu? Kikubwa anachohubiri ni yale yale kuwa mwili wake umejaa alama za risasi basi hana anachoahidi kwa watz tusubiri sanduku la kura uone atakavyoangukia pua
😳🙄😂😂😂😂Kwa sasa tunapita kila kanda huko kwenye majimbo ndio utaona rangi yetu halisi
JifarijiToo much exaggerated story, hivi Kuna mtanzania anakaa kabisa kumsiliza lisu? Kikubwa anachohubiri ni yale yale kuwa mwili wake umejaa alama za risasi basi hana anachoahidi kwa watz tusubiri sanduku la kura uone atakavyoangukia pua
Nadhani umechanganya, ni mashine ya kibeligiji 🤣😂😅Lissu ni mashine ya kijerumani
Leo kawagonga ccm kweli kweli huko Mtwara.Akiongea na wananchi wa Mtwara waliokusanyika maelfu kwa maelfu kumsikiliza, Lissu amekwenda huko na ujumbe dhidi ya unyanyasaji waifanyiwa wananchi wa huko kwenye ishu ya gesi na korosho...