Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Moto atakaouwasha Mtwara lazima Polepole na Magu wavurugike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hesabu ya haraka MPAKA muda huu CHADEMA wanaenda vizuri kwa kufanya kampeni zao kisomi zaidi na kimkakati zaidiKwa sasa tunapita kila kanda huko kwenye majimbo ndio utaona rangi yetu halisi
Huo ni muda wa kufunga mkutano mtaleta za 2015Subiri useme saa 12 jioni leo.
UKAWA ndio uliwabeba 2015 leo mnaenda kuaibika mtwaraMoto atakaouwasha Mtwara lazima Polepole na Magu wavurugike.
Huko Busega Magufuli amezomewa , amepanic na kuanza kuongea kisukuma , bado hatujaelewa kama alikuwa anawatukana au alikuwa anawabembeleza , tunaendelea kutafuta mkalimaniHapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Kama ni aibu inawazuia kurusha, nyomi la Mwanza na Mbeya wangeachaje kurusha?Hawatarusha ni aibu kule wanaenda kuadhirika hawatarusha
Unachotaka ionekane kuwa wiki hii ulikuwa na kupita kila mahali hapa Tz, hata jini hawezi.Hapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
mtwara ipi?Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali , kwamba leo yule Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara , baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu .
View attachment 1560206
Hapo kwenye CUF (Lipumba) umepotea maboya rudi kasome tena ama kwa CCM pia kama haitatumia tena "majeshi na mamlaka" haina namna huko kusini zaidi ya kuaga majimbo...Hapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Muanze kuedit kabisa picha za mafuriko ya Lowasa uchaguzi uliopita.kisha mzipost humu mseme za kusini kwenye kampeni za Lissu itawasaidia kificha aibu.
Labda ni vampire anapeperuka tu yeye kila kona yupoUnachotaka ionekane kuwa wiki hii ulikuwa na kupita kila mahali hapa Tz, hata jini hawezi.
Usipaniki mjomba, tuliaMbona mnawashwa sana. Subiri October 28
Ndio think tank wa kijani kibichi, subiri uone mioyo inawauma balaa na bado .Hawatarusha ni aibu kule wanaenda kuadhirika hawatarusha
Mtwara chezea wewe. Mtwara ndiko wanaenda KUMUONYESHA Lissu kuwa he is not a presidential materialNdio think tank wa kijani kibichi , subiri uone mioyo inawauma balaa na bado .
Dada unaumia sana roho vumilia sindano inauma lakini ndio uponyaji wenyeweHapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Kuna Mtwara ngapi?mtwara ipi?
Wewe ndugu una roho ngumu sana, yaani huogopi kupinga ukweli na kutetea uovu.Mtwara chezea wewe .Mtwara ndiko wanaenda kumsomesha Lisu kuwa he is not a presidential material