Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara, baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu.

View attachment 1560206
Kila la kheri Mr President
 
Makamanda huwezi kuona wakileta picha kama jana kule Mbeya
 
Hamna popote Lissu ataenda akose watu, MATAGA wacheni kuota, Lissu akitamka tu neno "korosho" kila mtu huko Mtwara atatoka nje kuja kumsikiliza, CCM mnajua ubaya mliowafanyia wale jamaa zetu, mtajuta.
Lissu ana nyota. Wanahangaika tu kushindana naye
 
Seli Nyekundu Za Damu buanaaa😂😂😂

Kwa Hiyo Comrade Tundu Lissu KATEULIWA na MUNGU Mwenyewe kuwa Rais eee?!!!

Umenikumbusha Jinsi Viongozi Wa DINI Walipotuambia JAKAYA KIKWETE chaguo la MUNGU😁😁

👉HAKUNA Mtimilifu Anayebisha kuwa Comrade Tundu Lissu amelindwa na MUNGU MWENYEZI dhidi ya wale WATESI.
👉Hakuna Mtimilifu Anayebisha kuwa Comrade Tundu Lissu AMELINDWA na MUNGU MWENYEZI toka pale Dodoma Hospitali,mpaka kule UBELGIJI.

Lakini Kuhusu Hili la kutumwa na MUNGU kuwa RAIS,umeliOVERRATE kihisia na WISHFUL THINKING😂😂😂😂😂.
Hivi Ulimtolea na kumchangia DAMU mh.Comrade Tundu Lissu ee?!!

Hayaa Banaa Seli Nyekundu Za Damu Zibebazo HEWA SAFI miilini mwetu.
 
Nasikiti
Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara, baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu.

View attachment 1560206
ka kampeni zimekosa watu kabisa it was a shameful act
 
Picha za mtwara nimeziona, ni kama Dodoma ofcourse hawafikii nusu ya mbeya, lakini kwa matarajio siyo mbaya wanawatosha ni wengi.
 
Huku mtwara kwetu hatuchagui watu wanaosema tukishindwa tutaingia barabarani, tunataka viongozi wapenda aman na si kutumwa kuja kuvuruga amani
Vp wale waliowapiga korosho zenu? Au wew ulilipwa nyuma ya pazia?
 
Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara, baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu.

View attachment 1560206
Update??
 
LISSU NDIO CHAGUO LETU
IMG_20200906_185926.jpg
 
ufupishe ibada kisa kampeni
Acheni utani nyie na hao viongozi watakuwa hawapo serious.
Kuna wale wanaomwombea bwana yule,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Vp wako serious au wewe uko na maoni gani?
 
Back
Top Bottom