Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini.

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara, baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu.

View attachment 1560206

=========



View attachment 1560931View attachment 1560932View attachment 1560933View attachment 1560934View attachment 1560895
Hii hali ya leo nimekumbuka kipindi kile Mtwara tumetangaziwa kutakuwa na Tetemeko, yaani kwa kifupi tu leo Mji wote hakukuwa na movement ambazo tumezoea yaani mji na watu karibia wote walihamia viwanja vya Sabasaba.

Watu wa Magomen, Nkanaled, Sokosela, Mdenga, Kiyangu na hata watu wa Naliendele walikuwepo Sabasaba. Kibaya zaidi watu wengi walitembea kwa miguu kwenda mkutanoni.
 
Muanze kuedit kabisa picha za mafuriko ya Lowasa uchaguzi uliopita.kisha mzipost humu mseme za kusini kwenye kampeni za Lissu itawasaidia kificha aibu.

Zikieditiwa utajua tu na kuamini kama utapenda.
 
Subiri oktoba utapata jibu!
Lissu sio fala hawezi kuibiwa na kunyamaza, kitawaka tuu na sisi (especially Mimi Chakaza ) tutaunga mkono mapambano hayo ya kudai haki itendeke.
Sio mchezo, lazima mtu achakazwe akileta za kuleta.
 
Angalia Mapokezi ya Buzuruga Mwanza!!! Tena ya Drone siyo yenu ya kupiga migongo ya watu. Mtanyooka tu mwaka huu! Labda kama mnahamu na kipigo cha mbwa koko!!
View attachment 1560885
Hivi ile ya Buzuruga ni mapokezi au watu waliojitokeza barabarani kumuona Rais akipita? Mapokezi ni kama Yale ya Lissu Airport ambayo watu wanakupokea na kukusindikiza takribani Kilometa 7 kwa miguu

 
Buzuruga sio mapokezi maana watu wametoka majumbani kwao na kusogea barabarani kumtazama.
Ona hata hamasa na furaha hawana bali wanashangaa tuu
Haya na hii vipi?
 
Mtwara OYEE!


IMG-20200906-WA0047.jpg
IMG-20200906-WA0045.jpg
IMG-20200906-WA0042.jpg

 
RC wa Mwanza amesitisha kufunguliwa kwa shule hapo kesho ili walimu na wanafunzi wahudhurie mkutano wa kampeni wa ccm , kwanini mnakusanya watu kwa njia haramu ?
Ha haha, habari nilizoletewa ni kuwa wanafunzi wameambiwa waende bila kuvaa uniform ili waonekane watu wa kawaida.
CCM hii ni laana kwenu kutumikisha watoto wetu kwenye upoloto wenu
 
Ha haha, habari nilizoletewa ni kuwa wanafunzi wameambiwa waende bila kuvaa uniform ili waonekane watu wa kawaida.
CCM hii ni laana kwenu kutumikisha watoto wetu kwenye upoloto wenu
MALALAMIKO FC teh teh teh!
 
Ha haha, habari nilizoletewa ni kuwa wanafunzi wameambiwa waende bila kuvaa uniform ili waonekane watu wa kawaida.
CCM hii ni laana kwenu kutumikisha watoto wetu kwenye upoloto wenu

2510026_390CF405-EE48-4644-B3CA-C8EB0F0844AE.jpeg
2510025_C337E4F7-7CEA-4948-BCAC-17C813CA15C9.jpeg
 
Back
Top Bottom