Pre GE2025 Lissu ajibu tuhuma za kunyimwa gari pamoja na fedha na Rais Samia, asema hajawahi kuomba 'favour' yoyote kutoka kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hayo ni maoni yako. Mashinji alikuwa pandikizi la CCM hiyo sote tunajua. Na Msigwa ana undugu wa ndoa na Magufuli. No surprise there. Tatizo ndani ya Chadema is manufactured by the likes of you.
Kwa ccm ndio waliomchagua Mashinji kuwa katibu mkuu wa chadema?
 
Kwa hiyo hasira zako ndio umekuja kulimalizia huku...
Ni kweli uliomba gari na chadema wenzako ushahidi wanao na soon watakuvua nguo soo it better to be cool
 
Kumekucha 🐼πŸ”₯

Yawezekana Chadema tatizo ni Kubwa kuliko tunavyofikiri

Hasa nikikumbuka Polepole alivyomlipia faini Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Mashinji

Na Shujaa akamlipia mchungaji Msigwa πŸ˜‚
Acha uongo, huyu alilipiwa akiwa mtu CCM 2020
 
Kumekucha 🐼πŸ”₯

Yawezekana Chadema tatizo ni Kubwa kuliko tunavyofikiri

Hasa nikikumbuka Polepole alivyomlipia faini Katibu mkuu wa Chadema by then Dr Mashinji

Na Shujaa akamlipia mchungaji Msigwa πŸ˜‚
Acha uongo, huyu alilipiwa akiwa mtu CCM 2020
 
Mimi nilimpenda sana Lissu pale alipopambana hadi dada yake akateuliwa na cdm kuwa mbunge wa viti maalum
Alafu anakuja kusema kwamba ccm ndio wanaleta undugu kumbe ata yeye ana undugu lizimu
 
Hayo ni maoni yako. Mashinji alikuwa pandikizi la CCM hiyo sote tunajua. Na Msigwa ana undugu wa ndoa na Magufuli. No surprise there. Tatizo ndani ya Chadema is manufactured by the likes of you.
Alilipiwa tayari akiwa CCM
 
Vizuri sana Mangi oko,kumbe bado uko kwa wale misukule wanamwamini Mzee Mbowe?
mimi siyo msukule wala mfu. naamini kwenye mawazo huru. kumuunga mkono mbowe siyo kosa kwa mujibu wa sheria za Tanzania. labda itamkwe vinginevyo. hakuna mt aliyekichukia chadema kama magufuli. labda kutokana na uchache wa kura alizopata 2015. Dar alipata 54000 tu. lakini leo yupo wapi na chadema kiko wapi? ukweli ni kwamba alifia kwenye bustani pale mzena.... hahahaha
 
puppet mpaka ahakikishe Chadema imekua kama nccr mageuzi ndio aondoke Chadema πŸ’
 
Kwa hiyo wewe hutakaa ufe?ndio maana mnaitwa Nyumbu aisee
 
Kwa hiyo wewe hutakaa ufe?ndio maana mnaitwa Nyumbu aisee
kufa nitakufa ila kufa kwa muovu na kufa kwa muovu ni heri kwa wapenda haki wote.
nani alimpiga risasi tundu lisu na akwilina akwilina?
yupo wapi a;phonso mawazo?
yupo wapi ben sanane?
yupo wapi Anzory Gwanda>
unadhani hawa wote hawakustahili KUISHI?
 
kufa nitakufa ila kufa kwa muovu na kufa kwa muovu ni heri kwa wapenda haki wote.
nani alimpiga risasi tundu lisu na akwilina akwilina?
yupo wapi a;phonso mawazo?
yupo wapi ben sanane?
yupo wapi Anzory Gwanda>
unadhani hawa wote hawakustahili KUISHI?
Muulizeni Mzee Mbowe aisee na yule dereva ambae Lisu kamficha
 
kufa nitakufa ila kufa kwa muovu na kufa kwa muovu ni heri kwa wapenda haki wote.
nani alimpiga risasi tundu lisu na akwilina akwilina?
yupo wapi a;phonso mawazo?
yupo wapi ben sanane?
yupo wapi Anzory Gwanda>
unadhani hawa wote hawakustahili KUISHI?
Hizi mambo muulize Mbowe anajua vizuri, na moja ya kesi yake ilimfunga ni hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…