Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

Post kama hizi ndio madhara ya sumu za Lissu alizowalisha bilind supporters wake.

Hakuna mkataba wa serikali yeyote on FDI usio na kipengele cha dispute resolution (arbitration)..

Kwa hivyo serikali ikiamua kufanya fujo Ina dispute arguments zake either za uhaslllisia au sensationalised wao wenyewe wanajua position yao yai kuwaita wabia mezani na jinsi ya kumalizana nao.

Sasa wakati watu wanafanya fujo zao unaambiwa tuache utaki kuelewa, somo kutwa kuwapinga hasa kwenda kinyume na national propaganda zao.

Ni ngumu kuelewa makosa ya Lissu kwa tafsiri ta usalama kwa wabongo. Iła kwenda kinyume na mtazamo wa serikali nchi nyingi duniani. Kwa watu kama yeye bad things happen to them kwa tabia yake.

Wewe kwenye eneo hilo naona huna uelewa. Mimi binafsi naifahamu na nimeiona MDA kati ya Barrick na Serikali ya Tanzania. Hakukuwahi kuwepo MDA kati ya Serikali na Acacia.

Kwenye dispute resolution, hakukuwepo kipengere chochote cha kuzuia export ya concentrates. MDA, kadiri ya mkataba ilikuwa juu ya sheria za nchi. Kwenye MDA imetamkwa kuwa in case of conflict between MDA and law of the Land, MDA shall prevail.
Kwenye dispute, kulikuwa na hatua 3 tu: 1) amicable resolution between the main parties. 2) Kama ni masuala ya kodi, anatafutwa neutral party. Kama ni ukiukaji wa mkataba, upande uliathirika unapeleka kwenye international arbitration.

Alichokisema Lisu kilikuwa sahihi. Ndiyo maana timu ya majadiliano upande wa Tanzania, baada ya kulijua hilo, ikabidi wawe wapole na kuwa kwenye weak side wakati wa majadiliano ya kutengeneza Mkataba mpya. Mkataba wa sasa umetubana zaidi kuliko wa mwanzo. Hatuna mamlaka ya kuzuia export hata kukiwa na dispute, kukiwa na mgogoro, lazima solution ioatikane ndani ya siku 30. Ikishindikana ndani ya siku 30, mahakama ya biashara ya Singapore itatarifiwa, na yenyewe kuingilia kati. Uamuzi utakaotolewa na mahakama hiyo hautakatiwa rufaa mahali popote.
 
Wewe ndio hujui kitu. Mambo basic tu yanakushinda. Mleta mada kaongelea kuhusu Trump kutokumnyooshea kidole Biden kwa kumpare na Lissu kumnyoshea kidole Magufuli. Ungejikita hapo, ila wewe unaleta stori sijui education system mara mambo ya contract law.

Wewe huwa unajifanya kujua mambo kumbe poyoyo tu, hakuna unachojua. Marekani wameshughulikia Jambo Hilo kwa haraka. Wamemuua muhusika mapema Sana na wameitoa taarifa zote zinazomuhusu mapema Sana.
Rafiki umejibu vyema watu wengine huingiza story ili kupoteza ukweli.
 
Mimi tena poyoyo salaleh

Elewa kutofautisha when two contrary stories with vast motive differentiation but a familiar final decision are not the same.

Motives za dogo alieamua kumtungua Trump na Sababu za watu walioamua kumshambulia Lissu ni contrary.

Hakuna evidence ya motives za wote au hata tabia za binadamu kufanana kwenye kutupa lawama.

As far as uropokaji goes in line with demagogue politics (Magufuli and Trump are at opposite ends) what they said irritates different groups. Marekani ukiongea upuuzi unaweza wakera raia wenye silaha na Tanzania ni raia wasio na silaha na hawana tabia ya ku act.

Who would be responded to act most likely in US secret services/civilian; Tanzania ni security services.

Denial culture US wamejipanga kushinda Tanzania.

Mąkosa ya Lissu (being a national security) kwa marekani raia anaweza mshambulia kwa hasira, Iła kwa usalama wao wasingemuacha kwa ule upuuzi wake.

Believe me sijui sana siasa za US, hila kwa uingereza upuuzi aliokuwa anafanya Lissu kipindi cha Magufuli either serikali ilikuwa right or wrong wasingemshambulia kishamba vile. Ila bad things happen kwa watu wanaoingilia mambo ya serikali.
Mpuuzi kati ya Lisu na Magufuri ni nani?
 
Wanasiasa wa bongo wanawaza tu kuhongwa kilichomponza tundu Lissu akalambwa Blancons na Mboye kwa ushirikiano na Accacia na yeye kwa sababu ni lopolopo akajiunga kufanya ulopo logo lijinga Sana lile jamaa lijifunze siasa za wazungu
Mpumbavu sana wewe na kama siyo mpumbavu basi ni mwehu.
 
*Serikali ya Biden imechubguza tukio n kumbaini mshambuliaji, serikali ya yule kichaa jiwe.......?
*Biden mwenyewe kalaani tukio na kamoigia simu Trump ya kumpa pole, jiwe......?
*Jiwe aliwakataza walitaka kumchangia damu na kumuombea Lisu, hata akamnyima stahiki zake kama mbunge. Biden.....?

Hivi umeandika upumbavu gani huu?
Unaona eh!
 
Back
Top Bottom