Kama isingekuwa hivyo wala msingehangaika kusomba watu kwa malori!Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Kibaraka anasema kumi na sita wewe mke wake unadouble 32 dah mnatia aibu ,hakuna kura za hura wapuuzi nyie.Wa kwanza kwa risasi 32,Mungu kamponya ili kukuumbueni mliroga usiku Leo mchana kila mtu amewajua wachawi
16 za mwilini 32 Ni jumla mlizopigaKibaraka anasema kumi na sita wewe mke wake unadouble 32 dah mnatia aibu ,hakuna kura za hura wapuuzi nyie.
Sawa mrs.lissu.16 za mwilini 32 Ni jumla mlizopiga
Thus Mungu alimuokoaNishaiweka karibu ile nyimbo (pambio) “TUMEUOOONA, MKONO WAKO BWANA, UMETUTOA MBAAAALI, UMETUSHIKA MKOOONO”.. mtaa mzima naona watanijoin hapa nyumbani tuuimbe weee mpaka tuchoke. Na chakula itakuwa pilau tu wiki nzima. Tushereheke na majirani halafu tutajumuika kumtolea Mungu sadaka ya pamoja, maana wote tumejiapiza Lissu lazima awe Rais wetu Watanzania.
Tuvumilie mkuu, kipindi cha JK tulilalamika sana juu ya maovu, ila sasa tunaenda kila mtanzania kuwa na uahueni wa maisha, so miundombinu ikiwa safi kila jambo litakaa sawa.Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
On a Akili Za Bavichaaa Hahaha Mnawazaa Bata Tu dahTupate likizo wiki nzma kabisa ya kusherekea
Unazani Kura zitapigwa na wakenya ?Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Waovu wakitawala nchi huugua.. Lkn wenye haki wakitawala nchi huinuka.....Jidanganye Magufuli mpaka 2025
Usikate tamaa mkuu,, ila itabidi utafute kazi nyingine mana hii ya humu itakoma rasmiIla ndio hivyo hawezi kushinda
Jiwe hajawahi kishinda Urais na wala hatashinda Urais, 2015 alitangazwa tu, ila safari hii Mh Lissu kasema hatu mwachii MunguTukutane siku Magufuli anaapishwa
Mkuu nani kawamwaga ? Unadhani member wote ni kama wewe(Buku7 fc)?Hawa jamaa wamemwagwa kwenye mitandao ya kijamii, kazi yao ni propaganda. Kuaminisha Lissu anakubalika kila pembe ya nchi hii. Fuatilia thread zinazoanzishwa humu asilimia kubwa zinaongelea mapokezi ya Lissu.
Wakifa wahuni haina shidaa hata wafe mia ili kulinda amani ya watu milion 60Waovu wakitawala nchi huugua.. Lkn wenye haki wakitawala nchi huinuka.....
Magufuli akitangazwa itakua msiba mkubwa sn kwa taifa kuliko hata kifo cha baba wa taifa
Basi subiri awamu hii, lazima utafute kazi nyingineLini wajasiriasiasa/pingapinga wamewahi kushinda, wao ni losers tu
Mdugu jiandae kutafuta kazi nyingine, hii unayofanya humu inaenda kukoma, mark my words, sikukumbushi tenaWanaccm ni wamejiajiri/kuajiriwa sio wanaojiita wapinzani/pingapinga wanakesha kucheza pool table na kulalamika vyuma vimebana
Mimi nitafurahi zaidi wakina polepole wakikamatwa na kutiwa ndaniMapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. Umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Vyuma kukaza na wewe kutafuta kazi nyingine kuna uhusiano upi? Pia nani kasema vyuma vimekaza? Kumbuka hapa kuna maswali mawili ndugu MATAGAEndelea kukesha mitandaoni na kucheza pool table halafu lalamika vyuma vimekaza[emoji16][emoji3][emoji23]