Lissu amejiridhisha Mwenyekiti wake hachomoki, ndio maana kaamua kumuombea msamaha kwa Rais Samia

Lissu amejiridhisha Mwenyekiti wake hachomoki, ndio maana kaamua kumuombea msamaha kwa Rais Samia

Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.

Mkuu hivi ni lazima mposti upuuzi humu jf? Lumumba siku zote mnatia aibu kwa akili ndogo.
 
Siku ya leo sijabahatika sana kutembelea mitandaoni,ndio naingia now.

Kama ni kweli Lissu kafanya hivyo huo ni MTEGO kwa mama au Ni Silaha kwa lissu.

#namwenye masikio asikie!!
 
Mkuu, katiba imempa Mh Rais mamlaka makubwa mno, kumbuka hata hao majaji, mahakimu na watendaji wakuu ktk mihimili mingine ya serikali kama, Bunge wanapendekezwa na Rais.

Hivyo basi, hata asipotumia Mamlaka yake kushawishi kesi hiyo ifutwe, ukweli utabaki palepale kuwa Mh Rais yupo juu ya mihilimi yote ya serikali kwa mujibu wa katiba yetu.
 
ndio kuomba kwenyewe huko, kwanini asiache mahakama ifanye kazi yake bila kuingiliwa.

Lissu hajaomba,,, hio ni kesi ya Mchongo..

Lissu hajataka mahakama iingiliwe,,ila anataka Rais awakemee hao watendaji wa mahakama ili wazingatie kanuni za kisheria...

Wakishazingatia hizo sheria,, Mbowe ataachiwa coz hadi sasa hamna kesi pale..
 
Kuna undergraduate wajinga sana huwa wanajua unaweza ukatafutwa na ikulu ukisifia madudu ya viongoz wa nchi,we kwa elimu yako umejiridhisha kabisa mbowe gaidi! ukibanwa maswali na uhakika utakua unaenda haja kubwa kila mara,maana mishipa yako ya ubongo imelegea mpaka mkiani
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.


Vichekesho Tanzania yaani kama ni kweli Raisi amwachie gaidi😂 ambaye anataka kulipua nchi ambayo yeye ni Raisi… vituko tupu. Gaidi ambaye akienda mahakamani hata pingu havalishwi! Hapa hakuna kesi ni vituko tu. Hivi unajua ile kesi ambayo iliwapeleka jela mahakama ya rufaa ilitengua maamuzi pamoja na kesi ya Sugu mahakama ilitengua maamuzi! Hizi kesi ni za kisiasa za kubambika
 
Umeeleweka kama chawa wengine. Hakuna kazi nyingine ya vichwa vya mataga zaidi ya kufuga nywele...
 
Kesi mashahidi wa Jamhuri kila siku wanaumwa, walikuwa wawe 24, leo wameishia 13 unasema utetezi wana hali mbaya tena
 
Wewe ukiwa peke yako kabisa bafuni unaoga umevua nguo zote hakuna anaekuona wala huogopi kitu unaona kabisa ule ushahidi uliotolewa unajenga misingi ya kuwa na kesi pale na unaona kabisa hayo mazingira kuwa mahakama ikiwa huru Mbowe hachomoki?

Sometimes acha kushikiwa akili na mahaba ya kisiasa, unapoteza utu wako
Daaah! Halafu unakuta jamaa ni head of the family some where
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Unapata faida gani kushupalia kesi mchongo?
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Weka na ushahid wa kimahakama uliopelekea mpaka Lisu aone hachomoki!!
 
... thread ya hovyo! Chawa hamjui mshike lipi muache lipi; endeleeni kuwa kwenye zile fikra za chuki za baba wa chuki.
Kuna kakundi ka watu waliitengeneza na kubuni kesi ambayo madhara yake tunayaona.
Kuvuruga umoja wa kitaifa.
Sasa wanaumbuka aana pamoja na kesi kuiendea vibaya serikali iliyomshitaki, hawaoni umuhimu wa kupatana na kumaliza maovu yaliyo asisiwa na yule mkabila, mwizi, na muuaji.
Lakini Mungu anawapenda Watanzania.
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Ina onysha una mtindio
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
DCI,luteni urio,kingai ndo classmate wako walikuwa
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Kesho akiachiwa utapongeza swine wewe?
 
... thread ya hovyo! Chawa hamjui mshike lipi muache lipi; endeleeni kuwa kwenye zile fikra za chuki za baba wa chuki.
Kikubwa suala la mbowe liishe then... taratibu zingine zifuate....
Hamna haja ya kuendelea na kesi ambayo mashaidi wote hawana ushaidi inayoeleweka.
 
Back
Top Bottom