Lissu amejiridhisha Mwenyekiti wake hachomoki, ndio maana kaamua kumuombea msamaha kwa Rais Samia

Lissu amejiridhisha Mwenyekiti wake hachomoki, ndio maana kaamua kumuombea msamaha kwa Rais Samia

Tutafanyaje ndo akili yako ilipoishia kufikiri na sjui kama akili yako iliwekwa kichwani ama shingoni Asprin
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Mbona umeandika ukiwa na muelekeo wako sasa unataka sisi tusome kama jarida?
 
Vitu vingine vinachekesha.

Upelelezi kwa ugaidi unadoaiwa kuwa wa 600k ndio useme walitumia pesa nyingi pesa gani hizo?

Kama una uchungu na pesa za walipa kodi waambieni bunge lenu la kijani lipunguze posho za vikao .

Na kwa mashahidi gani unaosema wametoa ushahidi wa maana? hawa akina Urio wasiojua maana ya neno hata homeboy na hawajui wapi pa kureport huko kwao?
 
Ushahidi umenyooka gaidi anafungwa...
Kama wewe ndiye Jaji unaweza kupindisha ukweli kuwa uongo,sawa mfungeni ila kwa ushahidi uliokwisha wasilishwa mahakamani:Sidhani kama kuna kesi ya kujibiwa.
Muda ukiwadia usikimbie.
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
[emoji848]
Screenshot_20220218-093652.jpg
 
Kama wewe ndiye Jaji unaweza kupindisha ukweli kuwa uongo,sawa mfungeni ila kwa ushahidi uliokwisha wasilishwa mahakamani:Sidhani kama kuna kesi ya kujibiwa.
Muda ukiwadia usikimbie.
Kaa kwa kutulia..
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Mipumbavu iliyokosa akili ndio inandikaga upuuzi kama huu
 
Huyu toothpick ameshaanza mvurugano mapema hivi?
 
Hapo vip!!

Nijambo la kushangaza na kuchekesha leo Tundu Lissu kumuomba Rais Samia atumie mamlaka yake kuondoa kesi inayaomkabili mbowe mahakamani.

Ni wazi Lisu amesikika akisema hii kesi ni ya kutengenezwa na hamna kesi hapo,hivyo alisikika akimuonya Zitto kabwe kutomuombea msamaha mbowe kwa Rais Kwasababu hana kosa alilolitenda,na aliona hiyo kesi mahakama yenyewe itaitupilia mbali kwa sababu haina nguvu.

Ni wazi kadri ushahidi unavyotolewa mahakamani na jamuhuri Tundu Lissu anapata majibu ya kauli zake za kisiasa dhidi ya kesi hii.

Nadhani ametumia taaluma yake na kujiridhisha yakwamba mwenyeki hachomoki..kwahiyo kaamua kuunga mkona kauli ya Zitto kabwe kumnusuru mbowe dhidi ya mkono wa sheria.

Ila pia nina neno kwa mama,kama atapokea maombi ya zito na Lisu basi tafsiri yake ni kwamba Rais anauweze wa kukanya muhimili wa mahakama...kwabusara ni bora,mahakama ipewe uhuru wake juu ya hii kesi ya mbowe...nakama atakutwa na hatia basi mama awaachie kama wafungwa wengine kwa msamaha...

Isionekana kuna watu wanaweza kutenda kosa na kwasababu ya umaarufu wake..na hawezi kufungwa na mahakama za kitanzania kwasababu ataombewa msamaha kwa rais na atetewa na wanaharakati...

Nakushauri Rais hili swala usiwe mwepesi wa kulitolea maamuzi..mwisho wa siku utatengeneza hoja na wanasiasa kukushambulia vizuri na kudhihirishia ulimwengu yakwamba wewe ndio uliyemtengenezea mbowe kesi.

Pia kumbuka jamhuru imetumia pesa nyingi katika upelelezi ya kesi hii..hizi ni kodi za wanyonge...lakini lingine utaivunja moyo jamhuru katika kufanya kazi zake.
Mtu anatoka Segelea hadi Ikulu, ni mtu wa namna gani?

Labda mama alikuwa anawashwa basi.

Na kamati yenu kuu inaiangushia jumba bovu polisi.

Wewe utakuwa si riziki.
 
Magufuli aliacha mbegu mbaya sana. Oneni vidampa wake wanavyohangaika kama wachawi mitandaoni.
Huku wapo hawa, mtaani kina Makonda. Na bila kuwatupa jela wote hawa kama lile li jenerali la kuchonga li 7ya hakuna utulivu hapa nchini maana ukisha kula nyama ya mtu kuacha huwezi
 
Back
Top Bottom