Diaspora wamechanga na hata mimi nimechangiaNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Juu ya yote, ni aibu Lissu anaendeshwa na msigwaYani nyie mataga mnaangaika na Lissu kawafanya mmechangangikiwa na kujichekesha kama Malaya aliyepewa bia ya tatu.
Kikubwa hapa Lissu anaendeshwa na msigwa kwa remote controlDiaspora wamechanga na hata mimi nimechangia
Umasikini mbaya sana. Unadumaza hata mzamo wa mtu.Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Aaah,ya kweli haya wajameni😔ukiachilia mambwenyenye ya magharibi yanayombackup kwa siri sana,
fungu kubwa na logistics nyingine amefanya rafiki yake wa siku nyingi sana anaitwa Petro Msigwa, nadhani huyu muungwana ni kada wa CCM, pamoja na marafiki zake wengine..
na unajua siasa sio uadui bana 🐒
Umetanguliza neno usiri mkubwa ili usiulizwe kuhusu ushahidi. Msigwa yupi unamzungumzia. Nae ana wahisani au ni pesa zake kama ikiwa kweli amefanyaukiachilia mambwenyenye ya magharibi yanayombackup kwa siri sana,
fungu kubwa na logistics nyingine amefanya rafiki yake wa siku nyingi sana anaitwa Petro Msigwa, nadhani huyu muungwana ni kada wa CCM, pamoja na marafiki zake wengine..
na unajua siasa sio uadui bana 🐒
Kulikuwa na nini zaidiHapana, ile ilikuwa zaidi ya press
Mimi tajiri mkuuUmasikini mbaya sana. Unadumaza hata mzamo wa mtu.
Mawazo yake huwa ya kimasikini sikini tu.
Hawa ndio ukipata pesa wanakuzushia kuwa sio pesa ya halali hiyo.
Yote ni kwa sababu ya akili yao kushindwa kubadilika na kuwa na mtazamo chanya.
TUMEKUSHUTUKIA MTEKAJI...UTAWAJIBIKA MAISHA YAKO YOTEMbowe alishatangaza hadharani sumu haionjwi na Lisu aneshaonja tayari.
Ila hatutakubali yamtokee ya Chacha Wangu, safari hii tutamnyoosha gaidi
Lisu ni asset kwa watu wengi usije kuta anaandaliwa kuwa mgombea wa uraisi wa CCM.Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
That was press kama zingine tuHapana, ile ilikuwa zaidi ya press
rafiki yake msigwa kadhamini show hiyo sasa hapo ndiyo utajuwa hujuiNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Amepuliza Ugoro kwenye Pua zenu. Chafya zimeanzaNajiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Kwahiyo Lissu anatakiwa kuwa maskini?Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Wajinga ndio waliwao. Ccm wanemhonga Msigwa naye kaleta Chadema?rafiki yake msigwa kadhamini show hiyo sasa hapo ndiyo utajuwa hujui