Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!
Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.
Usimuunge mkono Ndugai! Unga mkono hoja yake?Ndugai Yuko sahihi Lakini hatumuungi mkono maana ni kiongozi mshenzi. Tena ameturahisishia kazi kwa kuomba msamaha. Kama Lisu anamuunga mkono amuunge kimpango wake.
Lisu anatetea hoja ya Ndugai!singida dodoma singida dodoma
Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee
Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa
Hata Lowasa ulisema hivihiviNdugai hawezi kuwa mgombea wa CDM hana mvuto wala wanaomuunga mkono wa maana na hata akitoka CCM CDM hawawezi mpokea labda aende tuvyama kama chauma, infact Ndugai hawezi toka ccm. Hii mbwinu CDM walishajutia kosa lao so hawawezi rudia na hata uchaguz uliopita kwa ACT wazalendo na Membe napo imezidi kujulikana kuwa ni mbwimu ya ccm.
Lakini kizuri zaidi aliyetaka kumuwahisha yeye ndio amewahishwa!!MUNGU ANATISHA, jamaa alikuwa ana jiona kama hawezi kufa vile, ila yeye ndiye wa kuamua nani aishi au afe.Risasi siyo chanjo ya kifo atakufa tu
lissu hajamuunga mkono ndungai ameunga mkono hoja na jambo ambalo liko nyuma ya paziaNdugai Yuko sahihi Lakini hatumuungi mkono maana ni kiongozi mshenzi. Tena ameturahisishia kazi kwa kuomba msamaha. Kama Lisu anamuunga mkono amuunge kimpango wake.
Lisu anatetea hoja!Anamtletea mtu aliyemnyima mshahara na haki zake zote za ubunge. Ndugai hata akiwa na haki siwezi kumtetea mshenzi sana.
Infact akitokea nyoka na nsugai wanahitaji msaada otherwise atakufa basi nipo radhi kusaidia nyoka hiyo mbwa Ife.
Yaan kabisaaaa yamkute ili ajue kuheshimu mawazo ya wengine.Hapa ndipo unaona mapungufu ya huu muhimili kwamba haujitegemei. Ndo maana Spika anaonekana kama mteule wa Rais. Anatetemeka na kuomba radhi.
Watz wanadai katiba mpya Ndugai kwa unafiki wake anajifanya haelewi acha yamkute.
Safi sana!Mimi niko na Mama against Ndugai ambae ni mpiga zumari wa Dikteta uchwara.
Good Dictator is a dead one tumepumua daadeki!! Vitumbua vimejaa mezani.
Mbona kwenye hoja ya Ndugai hajaweka uanauke wa raisJambo lipo kweli, jambo lenyewe ni kumdharau rais kwa sababu ni MWANAMKE na vile ni MZANZIBARI. Maana hili liliwauma sana, ukitizama Zanzibar ni Mzanzibari (wa kulazimisha), ukitizama Muungano ni Mzanzibari 😀
Tumeshamwambia asiingilie Mahakama ili Polisi na kesi yao ya kutunga ifeli Mbowe sio adui yake Adui zake ni nyinyi Kijani wenzake.Tuko na mama hata kwa gaidi
Kabisa mkuu!Tumeshamwambia asiingilie Mahakama ili Polisi na kesi yao ya kutunga ifeli Mbowe sio adui yake Adui zake ni nyinyi Kijani wenzake.