Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Yeye ni ling’ombe tu
Naona amekuwa mwangalifu katika kumchagulia jina. Angemuita linyumbu angewakwaza sana nyumbu wake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ni ling’ombe tu
Moja wa wanasiasa wachache wa Tanzania wanaojielewaUzuri mmoja kuhusu Lissu jamaa ni mkweli sana kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi hata uwe adui yake ukionewa atakutetea. Na hii ndio aina ya viongozi ambao hatuna Afrika.
Kwa vitu alivyofanya Ndungai kwa Lissu kwa mtu mwingine angekuwa amepata pa kumpigia angempolomoshea kila aina ya matusi.
Wewe umekanyagwa kuliko Lisu?Mimi sijawahi kuungana na hizo taka ngumu toka CCM wakati wowote. Huyo Ndugai alikuwa anaongea kwa sifa kabisa ili kukomoa wapinzani. Wakati ule wa siasa za kishenzi alikuwa anaona fahari sana kunyanyasa wapinzani. Sio kila mtu anaweza kumkubali shetani na mambo yake. Isitoshe kaikana kauli yake na kuomba msamaha. Mwambie ajitokeze asimamie hoja yake tumuunge mkono.
Kweli kabisa... Chadema tukitaka kushinda uchaguzi, tumkaribishe ndugai agombee 2025[emoji1745]Lisu kaongea vizuri sana kwamba kaomba msamaha sababu yeye ni ng'ombe tu kwa mama!
Ila ujumbe wake uko clear!
Tungekuwa na akili tungeungana na Ndugai bila kujali madhaifu yake!
Mbona tuliungana na Nyarandu, Lowasa na kina Sumaye?
Siasa ni dynamic na ina change, Samia wakati makamu wa rais alisemaje kuhusu umeme na sasa anasemaje?Well! Kwann kipind cha Mwendazake hakupiga kelele juu ya mikopo? Na ilikua pesa mingi? Refer issue ya Assad nayeye ndio alibeba bango la kumng'oa.
Hapa hiyo nyeupe ilienda wapi?Uzuri mmoja kuhusu Lissu jamaa ni mkweli sana kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi hata uwe adui yake ukionewa atakutetea. Na hii ndio aina ya viongozi ambao hatuna Afrika.
Kwa vitu alivyofanya Ndungai kwa Lissu kwa mtu mwingine angekuwa amepata pa kumpigia angempolomoshea kila aina ya matusi.
Ndungai ni kama walivyo CCM wengi tu hawana political legitimacy ya kukosoa utawa kwasababu wao pia walitenda hayo hayo walipokuwa na nafasi.Wewe umekanyagwa kuliko Lisu?
Kwa nini Lisu kaona hoja kwa Ndugai ila nyie wafuasi mnamshambulia ndugai na kuacha hoja yake?
Hoja ya Ndugai ndio imemfanya mama apanic namna ile!
Tungekuwa na akili tungamuunga mkono Ndugai kama alivyofanya Lisu
Wewe umekanyagwa kuliko Lisu?
Kwa nini Lisu kaona hoja kwa Ndugai ila nyie wafuasi mnamshambulia ndugai na kuacha hoja yake?
Hoja ya Ndugai ndio imemfanya mama apanic namna ile!
Tungekuwa na akili tungamuunga mkono Ndugai kama alivyofanya Lisu
Ni unafiki tu!! Hakuna cha cjui jobo yupo sahihi wala nan, maslah binafs tuSiasa ni dynamic na ina change, Samia wakati makamu wa rais alisemaje kuhusu umeme na sasa anasemaje?
Jenerali Ulimwengu alishasema. Watu wanaingiwa na hofu ambayo haikupaswa kuwepo. Jobo kathibitisha.Hapa ndipo unaona mapungufu ya huu muhimili kwamba haujitegemei. Ndo maana Spika anaonekana kama mteule wa Rais. Anatetemeka na kuomba radhi.
Watz wanadai katiba mpya Ndugai kwa unafiki wake anajifanya haelewi acha yamkute.
Lissu anajua siasa hawezi kusema asichoamini eti kisa Ndugai alimnyima mshahara.Anamtletea mtu aliyemnyima mshahara na haki zake zote za ubunge. Ndugai hata akiwa na haki siwezi kumtetea mshenzi sana.
Infact akitokea nyoka na nsugai wanahitaji msaada otherwise atakufa basi nipo radhi kusaidia nyoka hiyo mbwa Ife.
Una ushahidi gani?Lakini yule dhalim aliyetaka kumuua ndiyo mzoga wake unatafunwa na funza na roho iko motoni
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!
Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.
Ndugai ni mgombea urais kupitia chadema 2025Tundu atuache tu kwenye hili, ndugai aliomba radhi kwa mama tayari hivyo ni wazi alikanyaga nyaya za umeme
Tundu ana jambo anatafuta kwa ndugai kwa vile ametangaza kurud karibuni.,
Issue sio mkopo umepita bungeni au la issue ni mikopo ina tija kwa maendeleo ya nchi au la, tundulisu ajielekeze huko., toka zamani Tz viongoz wanakawaida kupitisha mambo ikulu haikuanza kwa mama tu
Lakini jengine ni kwanini ndugai alitaja 2025?? Hapa ndio kuna kiza kinene., mama yuko sawa kabisa
Sijawahi kuufyata,angalia mapigo niliyokuwa nikimpa sijawahi kumuogopa Dikteta uchwara, aliyelinajisi Taifa.Alipokuwa mzima ulifyata
Leo amekuwa na akili kubwa sio?Lisu anatetea hoja!
Ni akili kubwa tu ndio itamuelewa Lisu!