Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna makundi kadhaa kama ifuatavyo!

i)Kuna wasaka vyeo ndo wanaongoza kumsakama Ndugai bila kutumia mantiki yeyote, kweli kakosea katika kuwasilisha wazo lake sasa tujiulize je hakuna ukweli ndani yake?

ii)Kuna kundi la wana CCM waliotengwa na utawala ulio pita so wapo kujifariji juu ya sakata hili!
iii)Wapo wenye masrahi binafisi na mzozo huu kama Azani Zungu,mnaweza kuona jana katishia kuitisha maandamano ya kuonesha kusikitishwa na matendo ya Ndugai!

Sasa tujiulize micha ya Ndugai kukosea je kwenye kauli yake hakuna ukweli?

WATANZANIA kusema kweli hatujui hata tunachotafuta kundi kubwa la wanafiki na wasaka madaraka liko upande wa Raise Samia hapo naamini upande wa Ndugai upo pia kama mama Samia alivyoainisha juzi hapa!

Lakini kupanda kwa gharama za manisha watu hawana habari.ni kutetea matumbo yao! Ukitizama ongezeko la bei za bidhaa huwezi kumsikia CCM yeyote anaongelea hilo! Wote wanasifu na kuabudu kitu ambacho si kizuri! Uhuru tulipata ni pamoja na kuhoji kimagaubaga!

Kuna msemo alisema Rais wa kwanza wa Kenya kuwa Watanzania ni kama maiti hawawezi kuhoji wao ni ndio mwalimu! Wanapeperusha na upepo kama mabua!
Hakuna mahali Ndugai amekosea isipokuwa Ndugai matendo yake maovu ya kishetani ndiyo hicho watu hawamtaki ni mbabe na bunge aligeuza kuwa mali yake binafsi
 
Whatever the case, niko na Ndugai kwenye hoja yake, kukopa sio sifa na tusilazimishane kuwa na akili ndogo za kufurahia mikopo.

Kuhusu msamaha wa Ndugai sifahamu "his motive behind", but as long as aliamini alichosema kilikuwa sahihi namuunga mkono kwasababu hao walioulizwa hawakuwahi kumjibu mpaka alipowaomba msamaha.

Lissu yuko sahihi & I stand with him too, Ndugai hakutakiwa kumuomba radhi mjinga, amefanya kosa.
Kwenye msamaha ndo kaharibu kabisa , unamuombaje msamaha huyo mother aisee..!! Unatoa hoja sahihi na yenye nguvu Kwa Taifa af unaenda kuomba msamaha Kwa mkosaji..shame ndungai
 
Ndugai yupo sahihi tatizo ni matendo yake maovu ya kishetani ndiyo maana watu hawampendi
Sasa kwa nini tuhangaike na matendo yake maovu! Ukienda kurina asali huwa hatuhangiki na matendo maovu ya nyuki ya kutuuma sisi tunatizana asali! Hata kwenye hili tusimtizame Ndugai na Undugai wake tutuzame kasema nini?
 
Hakuna mahali Ndugai amekosea isipokuwa Ndugai matendo yake maovu ya kishetani ndiyo hicho watu hawamtaki ni mbabe na bunge aligeuza kuwa mali yake binafsi
Basi wamtoe lakini kama taifa tukumbuke Ndugai atatoka lakini kama hakuna majibu ya alichosema ni kazi bure! Nikutakie asubuhi njema!
 
Sasa kwa nini tuhangaike na matendo yake maovu! Ukienda kurina asali huwa hatuhangiki na matendo maovu ya nyuki ya kutuuma sisi tunatizana asali! Hata kwenye hili tusimtizame Ndugai na Undugai wake tutuzame kasema nini?
Tunachotaka ni Ndugai avuliwe u-Spika kwa njia yoyote ile. Over
 
Point muhimu hapa ni moja tu ambayo sidhani kama TL haijui. Mkopo si haujawahi kuwa tatizo ila mkopo huu wa mara hii ni wa aina yake. Ni mkopo uliojipambanua umefanya nini na kiuhalisia kilichofanyika kina political legitimacy kwake. Mi mkopo ambao kila Shilingi imeonekana imeenda wapi na kufanya nini na matokeo yake nini. Lengo la Ndugai & Co ni kumfanya mama aachane na utaratibu huu wa wazi wa matumizi ya Fedha hasa za mikopo kwasababu akifanya hivi kwenye maji na kilimo, atakuwa amepunguza kwa kiasi kikubwa matatizo ya Tanzania na hivyo kumpa credit kubwa kwa 2025.
umenena mkuu
 
singida dodoma singida dodoma

Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee

Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa
Lissu amesimama kwenye principles, kwamba hampingi Ndugai kisa tu alimbània haki zake bali anamuunga mkono kwa utaratibu unaopaswa kufuatwa. Naamini litakapokuja suala la ubunge wa akina Mdee au suala la mafao yake, atapingana tu na spika. Kukemea mabaya ya rafiki na kupongeza mazuri ya adui ni principles...... wachache wanaweza
 
Kwa wasomaji wote wa uzi huu:

Kwani siku lilipotokea tukio hili hapa chini, mlipta ujumbe gani kutokana na tukio hilo?



Za kuambiwa, chnanganya na za kwako
 
At least TL anachukua opportunity hii kwa faida ya Upinzani. Sio kama followers wake wanaomwangalia tu Ndugai! Ni maoni yake lakini ni maoni mazito ya kutafakarisha. Kuna jambo!
 
Kama Ndugai angekuwa anajua ingekuja kuwa hivi ilivyo Leo basi asingeenda kwenye kile kikao cha wagogo. Kile kikao kimeleta nuksi kwake. Kimempokonya ulaji wake wote
 
Kama Ndugai angekuwa anajua ingekuja kuwa hivi ilivyo Leo basi asingeenda kwenye kile kikao cha wagogo. Kile kikao kimeleta nuksi kwake. Kimempokonya ulaji wake wote
Hana njaa huyo
 
Lissu amesimama kwenye principles, kwamba hampingi Ndugai kisa tu alimbània haki zake bali anamuunga mkono kwa utaratibu unaopaswa kufuatwa. Naamini litakapokuja suala la ubunge wa akina Mdee au suala la mafao yake, atapingana tu na spika. Kukemea mabaya ya rafiki na kupongeza mazuri ya adui ni principles...... wachache wanaweza
Umekuja napopataka,mbona kwenye hao covid 19 hakuongea chochote,huyo ni takataka kama takataka nyingine tu
 
Alitumia lugha za
Kimaudhi,
Kichokochoko,
Aliongea kwa jaziba,
Alutumia dharau na dhihaka,
Aliongelea kijiweni wakati mjengo upo.
Alimhusisha Rais kwa kumtaja Mama mikopo huku akijua Mwigulu ndiye mwenye dhamana hiyo.
Ndugai huwa anataka hoja zake zipongezwe hata akikosea.
KINGA ZA MIHIMILI ZIONDOLEWE.
Mimi ni muumini wa ukweli, Job mara nyingi ni mwonevu na mropokaji but this time alikuwa sahihi.
Ametishwa kidogo akainama, ameharib
 
Alitumia lugha za
Kimaudhi,
Kichokochoko,
Aliongea kwa jaziba,
Alutumia dharau na dhihaka,
Aliongelea kijiweni wakati mjengo upo.
Alimhusisha Rais kwa kumtaja Mama mikopo huku akijua Mwigulu ndiye mwenye dhamana hiyo.
Ndugai huwa anataka hoja zake zipongezwe hata akikosea.
KINGA ZA MIHIMILI ZIONDOLEWE.
Duh
 
Back
Top Bottom