Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Huu mtifuano wa Samia na Job uendelee mpaka ifike hatua wakionana watwangane makofi

Ameeen
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.


Bro leo unaona Tundu Lissu anakufaa.
 
Wewe umekanyagwa kuliko Lisu?

Kwa nini Lisu kaona hoja kwa Ndugai ila nyie wafuasi mnamshambulia ndugai na kuacha hoja yake?

Hoja ya Ndugai ndio imemfanya mama apanic namna ile!

Tungekuwa na akili tungamuunga mkono Ndugai kama alivyofanya Lisu
Hahahaaa! Yuko pale sana tu
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

Mwambie lisu kuwa bungeni hiyo hoja ilipitishwa rasmi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
singida dodoma singida dodoma

Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee

Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa
Tundu Lisu si mtu wa visasi, kumbuka hata Sabaya alipokuwa ameshikiliwa kizuizini bila kufikishwa mahakamani alimtetea kuwa anaonewa. Yeye huangalia hoja bila kujali uhusiano wake na aliyeitoa.
 
Tundu Lisu si mtu wa visasi, kumbuka hata Sabaya alipokuwa ameshikiliwa kizuizini bila kufikishwa mahakamani alimtetea kuwa anaonewa. Yeye huangalia hoja bila kujali uhusiano wake na aliyeitoa.
Hajapata madaraka tu
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.


Only people with good brains will understand Tundu Lissu katika hili
 
So wewe kama mtu alikukosea hata akiongea ukweli utaupinga sbb alikukosea?!
Kama ni hivyo utakua na matatizo ya akili
Kweli eeeeh,kwa Lissu haitatokea kamwe kwa alichofanyiwa,tusilishane uongo
 
Hujamuelewa Lissu yeye kazungumza uhalisia haijalishi huyo mtu kafanya ushenzi kiasi gani...kiufupi Ndugai kaongea ukweli ila kilichomuhukumu ni matendo yake ya Nyuma.
singida dodoma singida dodoma

Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee

Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa
 
Kwani kukubaliana na hoja ya Ndugai ndio kukubaliana na yote aliyofanya?.
Ukitaka kujua hata huyo Ndugai ni zero brain,kwani hicho anacholalamikia si yeye ndio amekuwa rubber stamp huko Bungeni,si alikipitisha kwa kutumia Kiti chake,sasa analalamikia nn utekelezaji wake?
 
Ukitaka kujua hata huyo Ndugai ni zero brain,kwani hicho anacholalamikia si yeye ndio amekuwa rubber stamp huko Bungeni,si alikipitisha kwa kutumia Kiti chake,sasa analalamikia nn utekelezaji wake?
Hakikupelekwa bungeni
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

 
Vyovyote iwavyo, kukopa trillioni 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila ruhusa ya bunge ni jambo lisilokubalika, hili lazima liondoke na mtu!
 
singida dodoma singida dodoma

Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee

Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa

Lissu alimtetea Lebaya Ole Sabaya alipowekwa ndani kwa karibia wiki nzima bila kupelekwa mahakamani, huyo naye alikuwa wa kanda ya kati? . Kwa kifupi kukimbilia hoja ya ukanda ni upungufu wa akili na kufilisika, ungesikiliza hiyo clip usingesema huo ujinga. Kwani mtu alikutendea unyama ndiyo huwezi kumtetea kama anafanyiwa unyama na wengine?
 
Lissu alimtetea Lebaya Ole Sabaya alipowekwa ndani kwa karibia wiki nzima bila kupelekwa mahakamani, huyo naye alikuwa wa kanda ya kati? . Kwa kifupi kukimbilia hoja ya ukanda ni upungufu wa akili na kufilisika, ungesikiliza hiyo clip usingesema huo ujinga. Kwani mtu alikutendea unyama ndiyo huwezi kumtetea kama anafanyiwa unyama na wengine?
Wewe kama wewe unaweza kufanyiwa vile alivyofanyiwa yeye halafu ukamtetea mtesi wako kiurahisi rahisi vipe,pelekeni kule ushuzi wenu kule
 
Kama Lisu leo anamuunga mkono Ndugai nitamshangaa na kumdharau kabisa.

Ndugai ndiye aliyekataa Lisu asigharamiwe matibabu na serikali.

Ndugai ndiye aliyemvuwa ubunge kihuni Tundu Lisu, sasa nitashangaa kusikia leo ati Tundu Lisu anasimama na Ndugai, nitashangaa sana.

Ni kweli kabisa, hatuna muda wa kuunga mkono wahuni eti ili kujionyesha tunasimamia principles.
 
Ukiangalia mambo yanavyoenda kuna makundi kadhaa kama ifuatavyo!

i)Kuna wasaka vyeo ndo wanaongoza kumsakama Ndugai bila kutumia mantiki yeyote, kweli kakosea katika kuwasilisha wazo lake sasa tujiulize je hakuna ukweli ndani yake?

ii)Kuna kundi la wana CCM waliotengwa na utawala ulio pita so wapo kujifariji juu ya sakata hili!
iii)Wapo wenye masrahi binafisi na mzozo huu kama Azani Zungu,mnaweza kuona jana katishia kuitisha maandamano ya kuonesha kusikitishwa na matendo ya Ndugai!

Sasa tujiuliza licha ya Ndugai kukosea je kwenye kauli yake hakuna ukweli?

WATANZANIA kusema kweli hatujui hata tunachotafuta kundi kubwa la wanafiki na wasaka madaraka liko upande wa Rais Samia hapo naamini upande wa Ndugai upo pia kama mama Samia alivyoainisha juzi hapa!

Lakini kupanda kwa gharama za manisha watu hawana habari.ni kutetea matumbo yao! Ukitizama ongezeko la bei za bidhaa huwezi kumsikia CCM yeyote anaongelea hilo! Wote wanasifu na kuabudu kitu ambacho si kizuri! Uhuru tulipata ni pamoja na kuhoji kimagaubaga!

Kuna msemo alisema Rais wa kwanza wa Kenya kuwa Watanzania ni kama maiti hawawezi kuhoji wao ni ndio mwalimu! Wanapeperusha na upepo kama mabua!
 
Back
Top Bottom