Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Ndugai hakupaswa kuomba msamaha hapa ndipo kosa lake lilipokuwa limejificha...huko kwengine kote alikuwa sahihi. Kuhoji ni kazi mojawapo ya bunge na serikali ilipaswa kutolea ufafanuzi zaidi ili muhimili wa uelewe zaidi, sasa Rais alitaka aulizwe nani kuhusu hizo mikopo?...Taasisi ya Urais ni kubwa na nyeti sana wala haipaswi kujibu hoja kwa jazba wala kejeli. Ile hoja bunge likianza inatakiwa speaker ailete kwa mtiririko mzuri ili wabunge waielewe zaidi na serikali ifafanue kwa kina watu waelewe. Naungana na wote wanaounga kuhoji mikopo ya nchi kama alivyo fanya speaker ila siungi mkono kuomba msamaha hapa!!
 
Ndugai hakupaswa kuomba msamaha hapa ndipo kosa lake lilipokuwa limejificha...huko kwengine kote alikuwa sahihi. Kuhoji ni kazi mojawapo ya bunge na serikali ilipaswa kutolea ufafanuzi zaidi ili muhimili wa uelewe zaidi, sasa Rais alitaka aulizwe nani kuhusu hizo mikopo?...Taasisi ya Urais ni kubwa na nyeti sana wala haipaswi kujibu hoja kwa jazba wala kejeli. Ile hoja bunge likianza inatakiwa speaker ailete kwa mtiririko mzuri ili wabunge waielewe zaidi na serikali ifafanue kwa kina watu waelewe. Naungana na wote wanaounga kuhoji mikopo ya nchi kama alivyo fanya speaker ila siungi mkono kuomba msamaha hapa!!
Nape na Kinana pia waliomba msamaha
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

Hela za mkopo zinakopwa na rais wa jamhuri ya Muungano lkn zinagawanywa sawa kwa sawa na zanzibar,bara ndio tunaolipa.Ndugai keshanusa hayo ila wabara hawajamuelewa.Pia teuz za bara lkn wanajazwa wazanzibar,wap maded,madc na wakurugenz wa mashirika ya umma,Ndugai ameyachungulia anaona hapana wabara tunapunjwa.
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

Bado uko Sukuma gang au umehama ?
 
singida dodoma singida dodoma

Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee

Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa

So wewe kama mtu alikukosea hata akiongea ukweli utaupinga sbb alikukosea?!
Kama ni hivyo utakua na matatizo ya akili
 
Sijawahi kuufyata,angalia mapigo niliyokuwa nikimpa sijawahi kumuogopa Dikteta uchwara, aliyelinajisi Taifa.
Nina mashaka sana na malezi yako na hata uraia wako. Behaviours zako siyo za watanzania au binadamu wa kawaida. Nahisi hata shetani anakushangaa kwa sababu hata yeye hapambani na wafu, vita vyake ni kwa watu wazima.

Kuandaa majeshi na silaha nzito kila siku ili upambane na mtu ambaye ameshakufa ni utahira wa kiwango cha juu. Acha utahira wako wewe mwanamke. Wana jukwaa wengi wanaokufahamu wamekuelezea humu jukwaani kuwa una mimba uliyoachwa nayo. Basi tulia. Kila siku kugombana na wafu kutafanya mimba yako kuharibika ukose kumbukumbu ya Bwana aliyekupachika mimba.
 
So wewe kama mtu alikukosea hata akiongea ukweli utaupinga sbb alikukosea?!
Kama ni hivyo utakua na matatizo ya akili

Wenye mental illnesses za aina hiyo wamo wa kumwaga humu. Wengi wao nyumbu!
 
Nina mashaka sana na malezi yako na hata uraia wako. Behaviours zako siyo za watanzania au binadamu wa kawaida. Nahisi hata shetani anakushangaa kwa sababu hata yeye hapambani na wafu, vita vyake ni kwa watu wazima.

Kuandaa majeshi na silaha nzito kila siku ili upambane na mtu ambaye ameshakufa ni utahira wa kiwango cha juu. Acha utahira wako wewe mwanamke. Wana jukwaa wengi wanaokufahamu wamekuelezea humu jukwaani kuwa una mimba uliyoachwa nayo. Basi tulia. Kila siku kugombana na wafu kutafanya mimba yako kuharibika ukose kumbukumbu ya Bwana aliyekupachika mimba.
Mbona unafura sana hehehe,wewe Mhutu unawezaje kuhoji Uraia wangu? nenda kahoji uraia wa Isidori mpango.
 
Mbona unafura sana hehehe,wewe Mhutu unawezaje kuhoji Uraia wangu? nenda kahoji uraia wa Isidori mpango.
Acha kuhamisha hoja mama. Muhimu tuliza pressure mimba yako isitoke. Unapenda sana kujadili watu badala kujadili hoja.
 
Hao ndio chadema hawana mtizamo unaeleweka always wapo against the state sasa mtu ulipigwa risas akakunanga bado akafanya vituko kwa kuwaondoa bungen na kukujel kua unadhurura wakat wewe unapigania uhai wako bado unamtetea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuhamisha hoja mama. Muhimu tuliza pressure mimba yako isitoke. Unapenda sana kujadili watu badala kujadili hoja.
Wewe si umehoji uraia wangu,sasa nani anahamisha hoja,Magufuli alikuwa ni Dikteta uchwara mwenye asili ya kihutu na thank god amekufa kubudu.
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

Labda kama kuna video nyingine, lakini Kwa hii Lissu Yuko direct hajatetea Mtu yeyote zaidi ya kutaka hicho kilichojificha nyuma ya kauli ya Ndugai kiwekwe Wazi maana ndio chanzo cha yote. Akasisitiza Ndugai amekaa bungeni 22 yrs hawezi kuwa hajui taratibu za kuongea. A very tachinical speech from a Political technician.
 
Ndugai Yuko sahihi Lakini hatumuungi mkono maana ni kiongozi mshenzi. Tena ameturahisishia kazi kwa kuomba msamaha. Kama Lisu anamuunga mkono amuunge kimpango wake.
Kama Lisu leo anamuunga mkono Ndugai nitamshangaa na kumdharau kabisa.

Ndugai ndiye aliyekataa Lisu asigharamiwe matibabu na serikali.

Ndugai ndiye aliyemvuwa ubunge kihuni Tundu Lisu, sasa nitashangaa kusikia leo ati Tundu Lisu anasimama na Ndugai, nitashangaa sana.
 
Lisu anasafisha njia. Mwaka 2025 sisiem ni bimkubwa na chadema ni Ndugai. Naona chawa wake washafarakana.. baadhi wanamuunga mkono makamu mwenyekiti na baadhi wanaweka akiba ya maneno.
Ndugai hata umsimamishe kongwa kwenye ubunge kama uchaguzi unakuwa wa haki hatoboi.

Acheni kudharirisha taasisi ya Urais kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom