Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Ndugai Yuko sahihi Lakini hatumuungi mkono maana ni kiongozi mshenzi. Tena ameturahisishia kazi kwa kuomba msamaha. Kama Lisu anamuunga mkono amuunge kimpango wake.
Nadhani Lissu ameunga mkono kitendo cha Ndugai kimantiki.......

Tukio la Ndugai limetudhihirishia Watanzania mambo makuu mawili......

1) Udhaifu wa mhimili wa bungee

2) Unafiki na ulafi wa watawala wa serikali ya CCM......
 
Ndugai hawezi kuwa mgombea wa CDM hana mvuto wala wanaomuunga mkono wa maana na hata akitoka CCM CDM hawawezi mpokea labda aende tuvyama kama chauma, infact Ndugai hawezi toka ccm. Hii mbwinu CDM walishajutia kosa lao so hawawezi rudia na hata uchaguz uliopita kwa ACT wazalendo na Membe napo imezidi kujulikana kuwa ni mbwimu ya ccm.

Chadema hawana mbwinu?
 
Mimi niko na Mama against Ndugai ambae ni mpiga zumari wa Dikteta uchwara.

Good Dictator is a dead one tumepumua daadeki!! Vitumbua vimejaa mezani.
Hivi wewe huwezi kujenga hoja yako bila kumtaja na kumdhihaki JPM. Ni uwoga, upumbavu na utahira kumdhihaki marehemu asiyeweza kujitetea. Alipokuwa mzima ulifyata, sasa hivi kila unachoandika ni kumdhihaki. Acha tabia hiyo ya kijinga. Wote tutakufa.
 
Uunge mkono hoja yake ambayo kasema ni ya kutunga na ameomba msamaha?
Lisu kaongea vizuri sana kwamba kaomba msamaha sababu yeye ni ng'ombe tu kwa mama!

Ila ujumbe wake uko clear!

Tungekuwa na akili tungeungana na Ndugai bila kujali madhaifu yake!

Mbona tuliungana na Nyarandu, Lowasa na kina Sumaye?
 
Hivi wewe huwezi kujenga hoja yako bila kumtaja na kumdhihaki JPM. Ni uwoga, upumbavu na utahira kumdhihaki marehemu asiyeweza kujitetea. Alipokuwa mzima ulifyata, sasa hivi kila unachoandika ni kumdhihaki. Acha tabia hiyo ya kijinga. Wote tutakufa.
Hawezi kuacha kumtaja maana ana mimba yake aliyomuachia
 
Vyovyote iwavyo, kukopa trillioni 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila ruhusa ya bunge ni jambo lisilokubalika, hili lazima liondoke na mtu!
 
Hivi wewe huwezi kujenga hoja yako bila kumtaja na kumdhihaki JPM. Ni uwoga, upumbavu na utahira kumdhihaki marehemu asiyeweza kujitetea. Alipokuwa mzima ulifyata, sasa hivi kila unachoandika ni kumdhihaki. Acha tabia hiyo ya kijinga. Wote tutakufa.

Alipokuwa hai hakutaka kupewa ukweli wake, sasa ngoja apewe huko huko kwa wireless.
 
Lisu kaongea vizuri sana kwamba kaomba msamaha sababu yeye ni ng'ombe tu kwa mama!

Ila ujumbe wake uko clear!

Tungekuwa na akili tungeungana na Ndugai bila kujali madhaifu yake!

Mbona tuliungana na Nyarandu, Lowasa na kina Sumaye?

Mimi sijawahi kuungana na hizo taka ngumu toka CCM wakati wowote. Huyo Ndugai alikuwa anaongea kwa sifa kabisa ili kukomoa wapinzani. Wakati ule wa siasa za kishenzi alikuwa anaona fahari sana kunyanyasa wapinzani. Sio kila mtu anaweza kumkubali shetani na mambo yake. Isitoshe kaikana kauli yake na kuomba msamaha. Mwambie ajitokeze asimamie hoja yake tumuunge mkono.
 
singida dodoma singida dodoma

Teh teh teh teheheheeeeeeeeeee

Mtu aliyenyimwa haki zake kipindi yupo kwenye shida na huyo huyo wa kanda yake leo anamuona yupo sawa

Kwani kukubaliana na hoja ya Ndugai ndio kukubaliana na yote aliyofanya?.
 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

Uzuri mmoja kuhusu Lissu jamaa ni mkweli sana kwake nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi hata uwe adui yake ukionewa atakutetea. Na hii ndio aina ya viongozi ambao hatuna Afrika.

Kwa vitu alivyofanya Ndungai kwa Lissu kwa mtu mwingine angekuwa amepata pa kumpigia angempolomoshea kila aina ya matusi.
 
Back
Top Bottom