Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Katika utawala wa Jiwe vijana wake wengi walifanya unyama mwingi sana.

Lissu anasema MAKONDA ni jambazi sana aliyetumia jina la Jiwe kuwatapeli wafanya biashara.

Alimtapeli GSM kuwa Rais Magufuli amemtuma amwambie GSM amjengee nyumba.

Kama ni kweli Jiwe alimtuma basi hiyo awamu ilikuwa ni ya kifisadi Sana.
Your browser is not able to display this video.
 

Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
 
Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Kwa maana yako wewe hili walilosema kuhusu Makonda halina maana ?
 
Muda wa kujadiri ruzuku wanazotafuna Mbowe na kundi lake haupo, ila muda wa kumjadili makonda upo.
Kwa sababu Makonda ni criminal na USA wanalijua hilo na kama hautaki nenda pale ubarozi wa usa utapata ukweli
 
Kwa sababu Makonda ni criminal na USA wanalijua hilo na kama hautaki nenda pale ubarozi wa usa utapata ukweli
Asante nitaenda, ila naninyi nendeni ufipa mfatilie ruzuka anazokula mbowe na kundi lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…