Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

Adul kambaya kawaliza kina mama wengi CUF waliokua wanautaka ubunge wa viti maalum. Alikua akiwaambia kua Lipumba amempa kazi ya kuandaa orodha ya kina mama ili yeye lipumba ampelekee JPM awateue viti maalum na UDC.

Wakati mwingine hawa wanaotapeliwa, akili zao hazifanyi kazi sawasawa. Hivi Rais anawezaje teua wabunge viti maalum kutoka kwenye kisicho chake wakati sheria imeweka utaratibu? Huyo GSM kama aliingia mkenge nitamdharau uwezo wake wa akili.
 
Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Noted.
 
Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Huwezi kuongelea shida za Tanzania bila kuongelea viongozi binafsi na matendo yao ya uporaji wa haki.

Moja ya tatizo kubwa la Tanzania ni uporaji wa haki unaofanywa na hawa wanaoitwa viongozi, hasa wa Serikali na CCM.

Msingi mkubwa wa maendeleo ni haki.
Bila ya kuwa na viongozi wanaotenda haki,kamwe tusitegemee kutatua changamoto yoyote ya Mtanzania.
 
..amekosea.

..Lissu alikuwa anajibu swali aliloulizwa na muandishi wa habari.

..hakujipeleka mwenyewe na kuanza kumzungumzia Bashite, muandishi aliuliza swali.

..ukiacha hilo Lissu alizungumzia mambo yanayogusa wananchi ikiwemo ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, nk.
Ndugu JokaKuu , hayo mazuzu ya CCM ni ya kutoyajibu.
Ubongo wao umeshatolewa.
 
Hivi ndio vitu ambavyo Watanzania wengi tunapenda - UMBEYA.

Ni hatari Kwa mtu wa jamii ya Lissu kuongea mambo ya mitaani mitaani aka umbeya ambao hauna ushahidi.

Wakati wa kifo cha JPM alitoka Public BBC akiiambia dunia JPM amekufa kwa Covid na hata mlinzi wake naye amekufa kwa Covid.
Siku kadhaa tunamuona yule mlinzi kwenye msiba wa JPM.
 
Dr Slaa aliwahi kusema kuna Bomba la mafuta limepita baharini kutokea mtwara kwenda Dubai na nchi inaibiwa.
Dr Slaa aliwahi kusema Riz alikamatwa na madawa china na JK alisafiri usiku kwenda China kumnusuru kwa kubadirishana na gas yetu.

Umbeya, umbeya bila ushahidi na kubwabwajabwabwaja aka oyaoya sidhani kama ndio siasa na mabadiriko tunayoyataka.
Binafsi siwezi kuamini watu wa namna hii Bora nisimame na Mzee wangu Rungwe anayeongea fact.
 
Yaani kirahisi rahisi tu Makonda anaenda kwa huyo GSM anamwambia kwamba Rais anataka huyo GSM amjengee nyumba, naye huyo GSM kweli anajenga nyumba halafu baadaye ndo anamtafuta Rais na kumwambia ‘mheshimiwa Rais nyumba yako iko tayari’, halafu Magufuli anashangaa ni nyumba gani tena hiyo!!

Hizi stori za Lissu bana!

Tokea adanganye kipindi kile cha msiba wa Magufuli kuhusu kufa kwa mlinzi wa Magufuli, yote asemayo sasa huwa nayatilia shaka sana.
 
Yaani kirahisi rahisi tu Makonda anaenda kwa huyo GSM anamwambia kwamba Rais anataka huyo GSM amjengee nyumba, naye huyo GSM kweli anajenga nyumba halafu baadaye ndo anamtafuta Rais na kumwambia ‘mheshimiwa Rais nyumba yako iko tayari’, halafu Magufuli anashangaa ni nyumba gani tena hiyo!!

Hizi stori za Lissu bana!

Tokea adanganye kipindi kile cha msiba wa Magufuli kuhusu kufa kwa mlinzi wa Magufuli, yote asemayo sasa huwa nayatilia shaka sana.
Mkuu Lissu alikuwa ananukuu maelezo ya Wakili wa GSM mahakamani wakati wa kesi hiyo na ndiyo maana Ghalib karudishiwa nyumba yake.
 
Hivi kweli maandamano mnaenda kuongelea hbr ya makonda. Tangazani sera zenu mueleweke
 
Back
Top Bottom