Lissu hawezi kukaa na Makonda ambaye hata chuo pale ushirika alikuwa anabebwa tu.kilaza umkutanishe na genius kweli!Ingekua vizuri siku Lissu na Makonda wskakutanishwa studio lakini polisi wakae katikati yao maana lolote laweza tokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu hawezi kukaa na Makonda ambaye hata chuo pale ushirika alikuwa anabebwa tu.kilaza umkutanishe na genius kweli!Ingekua vizuri siku Lissu na Makonda wskakutanishwa studio lakini polisi wakae katikati yao maana lolote laweza tokea
Na hayo matatizo yanasabishwa na wanyama?Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Lissu apunguze kuongelea wajinga wajinga.Katika utawala wa Jiwe vijana wake wengi walifanya unyama mwingi sana.
Lissu anasema MAKONDA ni jambazi sana aliyetumia jina la Jiwe kuwatapeli wafanya biashara.
Alimtapeli GSM kuwa Rais Magufuli amemtuma amwambie GSM amjengee nyumba.
Kama ni kweli Jiwe alimtuma basi hiyo awamu ilikuwa ni ya kifisadi Sana.
View attachment 2919153
Na wewe kaongee hayo mambo ambayo unaona yanaikabili jamii, nyie akili zenu tegemezi mnatarajia serikali itawaletea pesa mfukuoni. Unataka Chadema ndo wakuletee maendeleo? Serikali hailete maendeleo yako bali ina kutengenezea miundombinu ya wewe ufanye kazi uendeleeMimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Makonda,dotto james na DPP wametapeli sana nyumba za wahindi masaki...dpp alichukua nyumba mitaa ya slipway ya muhindi kwa kumpa kesi ....muhindi amefungua kesi kudai nyumba yakeKama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?
Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.
Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!
CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
Mkuu wa mkoa anauwezo wa kununua kiwanja masaki kwa salary yake...makonda jambazi kma jpm na kundi lakeLisu huropoka chochote kinachokuja kichwani mwake
Sio kwamba Lissu alifyata mkia alipoombwa wakutanishwe na Makonda au kumbukumbu zangu ndo hazipo sawa?Ingekua vizuri siku Lissu na Makonda wskakutanishwa studio lakini polisi wakae katikati yao maana lolote laweza tokea
Punguza makasiriko mkuu,unawezaje kujibu hoja za mbwa?Jitahidi uwe na akili japo yakuendea chooni mkuu!
Alete sera, kwani muda wa kampeni ndio huu mbwa we!! [emoji38][emoji38][emoji38]
Ukiona mtu anarudia matukio mabaya yawe yake au ya wengine basi huyo mtu ana depression mbaya sana hata kujiuwa anaweza
Simzungumzii yeye tu bali yeyote unaemjua mchunguze sana akiwa na tabia za kurudia mabaya ya mtu basi ni mgonjwa sana na anahitaji msaada wa hali
HahaaaInawezekana hata wale wanao tuma ujumbe kwenye simu "ile hela tuma kwa namba hii" ni watu wake pia