Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahaMakonda akikanusha kwa ithibati thabiti narudi CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaMakonda akikanusha kwa ithibati thabiti narudi CCM
Acha hizo, ukitetea uozo nawe ni uoza!Lisu huropoka chochote kinachokuja kichwani mwake
🤣🤣Kwamba nani ataanza kurusha ngumi?Ingekua vizuri siku Lissu na Makonda wskakutanishwa studio lakini polisi wakae katikati yao maana lolote laweza tokea
Kwa upeo wako wa akili unaona umedadavua vizuri?Hata mimi mantiki siioni Magufuli ajengewe nyumba na GSM hapa Dar?! Ina maana Magufuli alikuwa hana uwezo wa kujenga nyumba hapa Dar mpaka akaokoteze GSM kumjengea nyumba?
Je ni kweli mtu mzima na mfanyabiashara mkubwa kama GSM aambiwe tu maneno ayafanyie kazi bila kuwa na uhakika kuwa taarifa hizi ni za Rais?
Kwangu mimi naamini Makonda na GSM walizurumiana huko kwenye kazi zao chafu maana GSM alikuwa anafanya mambo yake ya kibiashara kupitia viongozi so ni rahisi kumtumia Makonda kama mkuu wa mkoa kufanikisha mambo yake!
Baada ya Magufuli kufariki GSM akaamua kuchukua nyumba kwa kujua kuwa Makonda hana madaraka tena na Magufuli ashafariki na pia team Kikwete ishachukua hatamu!
Hizo porojo za Lisu hazina mantiki kwa mtu yeyote smart mwenye uwezo wa kudadavua mambo!
Lisu ni mtu wa maneno ya kuokoteza na tukumbuke huyu alishawahi kudai mlinzi wa Magufuli kafariki kumbe uongo, mara nyumbani kwa Magufuli kuna mamilioni ya dola kitu ambacho hakikuweza kudhibitisha!
Kwa hili la GSM sidhani kama lina ukweli kama alivyoeleza Lisu japo mgogoro upo kati ya GSM na Makonda!
Ni sawa usemalo,lakini je ni haya ndio mwanasiasa anatakiwa kuyaongelea kila uchwaoUtakuwa na tatizo, labda hujitambui.
Dunia mpaka leo inamzungumzia Hitler, na hufanya kumbukumbu ya vita kuu ya pili ya Dunia, kila mwaka.
Matukio mabaya sana hufanyiwa kumbukumbu ili kuweka tahadhari yasijirudie.
Ukikuta gogo njiani na ukaliondoa ili upite, hiyo siyo busara? Je, kwa kuliondoa gogo itamaanisha hiyo ndo kazi yako?Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Hebu akutwange nana wewe halafu usimwogope tutakuoba nunda wa manundaLissu toka, atwange risasi amekuwa poyoyo tu. Yaan dogo kama Makonda nae, anawanyima usingiz? I remembered in the election of Tanzania in 1995 Mrema didn't discuss his party policy, instead he talked but people.
Na wewe dadavua! Maana kila mtu anamawazo yake sijashikiwa akili na wanasiasa!Kwa upeo wako wa akili unaona umedadavua vizuri?
Jitahidi uwe na akili japo yakuendea chooni mkuu!Kwanini asilete sera ataifanyia nini Tanzania akipata nafasi..
Kuchwa lawama anakomaa na mambo yaliyopita
[emoji109][emoji106][emoji120]Jitahidi uwe na akili japo yakuendea chooni mkuu!
Alete sera, kwani muda wa kampeni ndio huu mbwa we!! [emoji38][emoji38][emoji38]
Umechanganya kikorea na kingereza,huelewekiLissu toka, atwange risasi amekuwa poyoyo tu. Yaan dogo kama Makonda nae, anawanyima usingiz? I remembered in the election of Tanzania in 1995 Mrema didn't discuss his party policy, instead he talked irrelevant issues.