Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

Makonda alikuwa kinara wa kundi la wasiojulikana akiteka na kuua watu lakini piga ua lazima kuna siku atajibu kwani utawala huu wa kidhuluma hauna muda mrefu madarakani.
 
Kwanini asilete sera ataifanyia nini Tanzania akipata nafasi..
Kuchwa lawama anakomaa na mambo yaliyopita
Ukiona mtu anarudia matukio mabaya yawe yake au ya wengine basi huyo mtu ana depression mbaya sana hata kujiuwa anaweza
Simzungumzii yeye tu bali yeyote unaemjua mchunguze sana akiwa na tabia za kurudia mabaya ya mtu basi ni mgonjwa sana na anahitaji msaada wa hali ya juu
 
Hapa ndio niliona akili ya Sa100 ni veepee. Mtu kama huyu unampa cheo? Au kwa kuwa ni Chama cha Majambazi?
CCM waliojua nyie ni wajinga na Wajinga wape cheo na Sasa mkapewa Makonda mnaruka nae na kuacha mengine …endeleeni kumpa air time mna mnufaisha zaidi…! Uko chadema mwenye akili kidogo ni Mbowe
 
status ya Lisu sio ya kujibizana na Makonda,kwanini Lisu anashindwa kuiga mfano kwa Mbowe kwenye speech out.
Makonda ajibizane na kina Mdude sio Lisu au Mbowe.
Kuna watu humu hata kuwajibu nao ni ujinga. Hivi wewe Lissu yuko kwenye mahojiano na katupiwa swali hilo ulitaka aseme msiniulize?
Acheni ujinga nyie, kila siku mnamsakama Lissu kwa majibu anayoulizwa badala ya kuwabana waandishi waulizao hayo maswali.
Huu ni ufala!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Katiba Mpya vipi ?
 
Kama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?

Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.

Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!

CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
 
Hii kesi ilikuwa mahakamani kama sijakosea, sijui iliishia wapi? Au Mgongolwa kule kujitokeza kwake na kuongea na waandishi wa habari ndio akaona amemaliza kazi?!

Mahakama ndio ilitakiwa ituambie kile kiwanja kilikuwa cha nani, sio Lissu, hii sio kazi yake. Lissu ametoa kauli.. Makonda anaweza kumpinga au kukubali, au kunyamaza kimya, hayo yote yatakuwa majibu sahihi kwa upande wangu.

Mwisho wa siku wa mujibu wa sheria zetu, hata kama hizo mahakama ni mbovu, lakini zenyewe ndio zimepewa jukumu la kutupa majibu ya hayo masuala anayozungumzia Lissu dhidi ya Makonda kumhusu GSM.

Makonda anaweza kuwa mchafu, lakini hata hao GSM nao sio wasafi, hata ile kampuni dada yao ya Silent Ocean, wote hao ni wachafu tu, na wote hao hufaidika kutokana na mifumo na watawala corrupt wanaopewa nafasi ya kuliongoza hili taifa kwa vipindi tofauti.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nia ya Lissu Ni kutaka kuona Makonda kapelekwa mahakamani Na vyombo husika Kwa madhambi yake mengi anayotuhumiwa lakini vyombo vyenye dhamana havitaki au vinamuogopa... Na yeye Lissu ameamua kula naye sahani moja. Wakimkingia makonda kifua wanachafuka, wakimuacha Ni double standard - Mbona Sabaya alifungwa, wakiendelea kukaa naye humo ccm, maana yake tuhuma zote hata wao Ni complicity. Mshale kila corner. Siasa Ni mchezo wa Chess Na mahesabu ya calculus
 
Kama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?

Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.

Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!

CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
Makonda akikanusha kwa ithibati thabiti narudi CCM
 
Nia ya Lissu Ni kutaka kuona Makonda kapelekwa mahakamani Na vyombo husika Kwa madhambi yake mengi anayotuhumiwa lakini vyombo vyenye dhamana havitaki au vinamuogopa... Na yeye Lissu ameamua kula naye sahani moja. Wakimkingia makonda kifua wanachafuka, wakimuacha Ni double standard - Mbona Sabaya alifungwa, wakiendelea kukaa naye humo ccm, maana yake tuhuma zote hata wao Ni complicity. Mchale kila corner. Siasa Ni mchezo wa Chess Na mahesabu ya calculus
Na yeye Lissu ameamua kula naye sahani moja. Wakimkingia makonda kifua wanachafuka, wakimuacha Ni double standard -[emoji419][emoji375]
 
Kama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?

Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise Makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.

Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!

CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
Mimi sio shabiki wa mambo ya kisiasa hapa JF ila unataka Makonda akanushe tena kwa kupitia Mahakama kwa tuhuma ambazo zimetolewa kwenye media!

Kwahiyo kila anayetuhumiwa kwenye media anatakiwa awe anaenda Mahakamani kukanusha? huu ushabiki wenu wa kisiasa uliopitiliza, kuna muda mnafanya muonekane kama vile hamnazo.
 
Back
Top Bottom