Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 542
- 264
Vipi kwani kuna mtu amelalamika juu ya ruzuku unayosema? CCM bwana, daa!Asante nitaenda, ila naninyi nendeni ufipa mfatilie ruzuka anazokula mbowe na kundi lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kwani kuna mtu amelalamika juu ya ruzuku unayosema? CCM bwana, daa!Asante nitaenda, ila naninyi nendeni ufipa mfatilie ruzuka anazokula mbowe na kundi lake.
Hilo linalozungumziwa ni kati ya hayo matatizo ya system na yenye tija, ongeza uelewaMimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Hata mimi mantiki siioni Magufuli ajengewe nyumba na GSM hapa Dar?! Ina maana Magufuli alikuwa hana uwezo wa kujenga nyumba hapa Dar mpaka akaokoteze GSM kumjengea nyumba?Yaani kirahisi rahisi tu Makonda anaenda kwa huyo GSM anamwambia kwamba Rais anataka huyo GSM amjengee nyumba, naye huyo GSM kweli anajenga nyumba halafu baadaye ndo anamtafuta Rais na kumwambia ‘mheshimiwa Rais nyumba yako iko tayari’, halafu Magufuli anashangaa ni nyumba gani tena hiyo!!
Hizi stori za Lissu bana!
Tokea adanganye kipindi kile cha msiba wa Magufuli kuhusu kufa kwa mlinzi wa Magufuli, yote asemayo sasa huwa nayatilia shaka sana.
Kama habari hizo ni kweli basi kuna mushkheli katika CCM ngazi ya taifa,vinginevyo Makonda nae anajua madudu ya wakubwa hao,labda by comparison Makonda yake ni kiduchu!!!Lakini Lissu kafanya vizuri kuyaanika hadharani.
Hivi ale ruzuku TAKUKURU Wasishughulikie? Ukiandika humu tumia akili tupo wasomi wengi wenye akili zilizotulia. Simpendi Mbowe lkn kuna mambo ukiandika humu akili haikubaliAsante nitaenda, ila naninyi nendeni ufipa mfatilie ruzuka anazokula mbowe na kundi lake.
Watu wanaoleta matatizo hayo wakiongelewa maana yake TAYARI MATATIZO YAMEONGELEWA.Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Una lako jambo bibie! Funguka!Napenda sana Lissu akimuongelea Makonda, sitamani amalize.
CCM wametengeneza KASUMBA ambayo mimi naiona ni ya KITOTO sana wanajifanya kutengeneza muonekano kuwa Wapinzani ni MAADUI wa NCHI huu ni Mkakati wa KIJINGA sana.Kama habari hizo ni kweli basi kuna mushkheli katika CCM ngazi ya taifa,vinginevyo Makonda nae anajua madudu ya wakubwa hao,labda by comparison Makonda yake ni kiduchu!!!
Makosa ya jinai yanayohusu unyangaji na uporaji sio matatizo kwa wananchi? Hao wananchi wanaolala kudhulumiwa ardhi na mali wanatokeo wapi. Umefikiria kiduanziMimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Ya CHADEMA na ile ya CCM zipi ni nyingi zaidi? Zipi zinahitaji kujadiliwa zaidi?Muda wa kujadiri ruzuku wanazotafuna Mbowe na kundi lake haupo, ila muda wa kumjadili makonda upo.
Tutaelekea huko very soon Mkuu.CCM wametengeneza KASUMBA ambayo mimi naiona ni ya KITOTO sana wanajifanya kutengeneza muonekano kuwa Wapinzani ni MAADUI wa NCHI huu ni Mkakati wa KIJINGA sana.
Hebu fikiria kwenye MIND ya layman ambaye ANAAMINI kila PROPAGANDA na CCM wamekuwa Wakiwa Promote wale wote wanaowaumiza WAPINZANI.
CCM hawawezi kupigana na WAKATI na ili waendelee kutawala ni bora waje na mikakati kama SERIKALI YA MSETO au SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA au WAKUBALI KUSHINDWA.
HIZI PROPAGANDA ZAO ZA 1935 ZITAKUJA KUTULETEA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE.
HIVI HIKI CHAMA HAKINA VISIONARIES?
Aibu yako dada anguTulia wewe zao la mkojo wa kiazi kitamu, baba ako angekula mihogo mibichi usingekuwa mjinga mjinga hivi
Sisi WAPINZANI na wao CCM lengo letu ni kulijenga hili Taifa letu SOTE hakuna haja ya kulibomoa.T
Tutaelekea huko very soon Mkuu.
Enzi za AI (Artificial Intelligence)
zimewasili.
Halafu Samia kalipa usemaji wa CCM. Mambo ya ajabu sanaKatika utawala wa Jiwe vijana wake wengi walifanya unyama mwingi sana.
Lissu anasema MAKONDA ni jambazi sana aliyetumia jina la Jiwe kuwatapeli wafanya biashara.
Alimtapeli GSM kuwa Rais Magufuli amemtuma amwambie GSM amjengee nyumba.
Kama ni kweli Jiwe alimtuma basi hiyo awamu ilikuwa ni ya kifisadi Sana.
View attachment 2919153
DAB hamuwezi AL kwenye mdahalo ni kama Simba na Manchester UnitedKatika utawala wa Jiwe vijana wake wengi walifanya unyama mwingi sana.
Lissu anasema MAKONDA ni jambazi sana aliyetumia jina la Jiwe kuwatapeli wafanya biashara.
Alimtapeli GSM kuwa Rais Magufuli amemtuma amwambie GSM amjengee nyumba.
Kama ni kweli Jiwe alimtuma basi hiyo awamu ilikuwa ni ya kifisadi Sana.
View attachment 2919153
GSM NI RAIA FEKI WANAO MILIKI KIKUNDI CHA RAIA FEKI KUAKIKISHA WANAIMILIKI SERIKALI KUWA MALI YAO BINAFSI ....GSM NI JIZI LA TAIFA.....MBONA L8SSU ASWMI CHOCHOTE KUHUSU GSM ?kama MAKONDA ALIFANYA HIVYO NI SAWA KABISA MAANA NI HALALI KUSAMBALATISHA MAFISADI KWA NJIA YOYOTE.Katika utawala wa Jiwe vijana wake wengi walifanya unyama mwingi sana.
Lissu anasema MAKONDA ni jambazi sana aliyetumia jina la Jiwe kuwatapeli wafanya biashara.
Alimtapeli GSM kuwa Rais Magufuli amemtuma amwambie GSM amjengee nyumba.
Kama ni kweli Jiwe alimtuma basi hiyo awamu ilikuwa ni ya kifisadi Sana.
View attachment 2919153