Pre GE2025 Lissu amwambia Balile "Maswali yako ni Nonsense"

Pre GE2025 Lissu amwambia Balile "Maswali yako ni Nonsense"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Balile kila siku kuvaa shati lake la kitenge limeandikwa matakatifu Antonio wa Padua, lakini anatuabisha kabisa wakatoliki huyu jamaa


Duh! Kumbe Balile ni mkatoliki, tena mwenye kulitangaza jina la Mtakatifu Anton wa Padua!! Mie namsamehe kwa sababu ya heshima la huyo Mtakatifu wa Mungu. Namsihi sana Balile, asiishie kuvaa vazi linalotangaza mtakatifu huyo wa Mungu, bali aigemaisha ya huyo mtakatifu.
 
Duh! Kumbe Balile ni mkatoliki, tena mwenye kulitangaza jina la Mtakatifu Anton wa Padua!! Mie namsamehe kwa sababu ya heshima la huyo Mtakatifu wa Mungu. Namsihi sana Balile, asiishie kuvaa vazi linalotangaza mtakatifu huyo wa Mungu, bali aigemaisha ya huyo mtakatifu.
Ni mtumish mzuri sana huyu ndugu sema uchawa tu
 
Balile na Paschal ni makada wa CCM waliojificha kwenye mwanvuli wa Uandishi wa habari, kuwashirikisha hao kwenye jambo la demokrasia na mabadiliko ni kupoteza muda wako tu.

Hakuna mtu msafi, mwadilifu na mkweli wa nafsi, anaweza kwenda CCM.

Namheshimu sana Mwalimu Nyerere, lakini CCM ya sasa, ni wakala wa shetani. Hakuna mtu mwema anaweza kujiunga na chama cha wauaji, waporaji wa uchaguzi, mafisadi, watekaji, na wauazaji wa rasilimali za nchi kwa wageni iliwa ni maandalizi ya waarabu kupora pwani yote ya bahari na kuifanya mali ya Zanzibar.
 
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Soma, Pia: Balile kutetea Serikali mkutano wa Waziri Mbarawa anathibitisha bahasha zimepita kwa Waandishi wa Habari?

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
View attachment 3255988
 

Attachments

  • 26c4b7cf474c89ba0444572fd01ce36d_1740866019254.mp4
    16.8 MB
Lissu hakutakiwa kuomba msamaha kwa kusema " hilo swali ni nonsense " maana hakumtukana mtu. Alichosema ni kuwa " ulichosema does not make sense" ambayo ni kweli. Swali la kama Lissu atajiuzulu kama watu hawataunga mkono " No Reform No Elections " ni nonsensical. Ni nonsensical kwa sababu watu kutojitokeza kuunga wito huo unaweza kusababishwa na sababu nyingine zaidi ya kutounga mkono. Ni dhahiri kuwa ikitokea hivyo CDM watatafiti sababu na wataendelea na mpambano wao.

Amandla...
 
Ila Lissu ni mtata mwenye akili nyingi. Samia ili akutane hivi inabidi awapange kwanza, lakini yeye anakuja kavu kavu anawanyoosha.

Retired
Ndio naimalizia hivi hapa muda huu interview.

Kwanza Lissu ameonesha uwezo mkubwa sana. Fuvu la kichwa chake limehifadhi mambo mengi ambayo ni potential.

Imagine huyo Balile alikuwa ameshika mavitabu mchanganyiko ikiwemo yanayohusu sheria ili kupata angle ya kumshika Lissu.

Lakini Lissu amekuwa akimsahisha huyo jamaa kwa kumpa vifungu mbalimbali vyenye kuonesha hoja yake ni potofu.

Huyu jamaa alikuwa anauliza maswali kwa lengo la kum-provoke Lissu na Lissu amempa majibu kwa tone ile ile.
 
Hakuna mtu msafi, mwadilifu na mkweli wa nafsi, anaweza kwenda CCM.

Namheshimu sana Mwalimu Nyerere, lakini CCM ya sasa, ni wakala wa shetani. Hakuna mtu mwema anaweza kujiunga na chama cha wauaji, waporaji wa uchaguzi, mafisadi, watekaji, na wauazaji wa rasilimali za nchi kwa wageni iliwa ni maandalizi ya waarabu kupora pwani yote ya bahari na kuifanya mali ya Zanzibar.
Wewe huenda una sonona kali sana au kichwa chako hakiko freshi bila ya wewe mwenyewe kijitambua na wanaokuzunguka wanakuogopa kukupasha ukweli.
 
Back
Top Bottom