Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #21
Aliyetoa wazo la kumpiga risasi alikosea Sana....ona matokeo yake sasa.
Huyo no wa kumwacha Kama alivyo...hakuna namna ya kumkabili.Alibugi stepu sana
Mungu anafanyakazi in a mysterious way
Walidhani wameshaudhibiti upinzani lakini ona sasa
Ile idadi haiedhibitiki kukitokea Fuji.Sawa mkuu. Nakusihi. Tuwe watulivu siku ya kupiga kura. Lakini tuamini asiyekubali kushindwa si mshindani. Wote sisi ni watanzania na watakao chaguliwa ni watanzania wenzetu. Tuwe watulivu na tuyapokee matokeo kwa njia ya amani. Atakaye fanya uvunjifu wa amani, atakutana na wahusika wa hizo mambo.
Sawa mkuu. Nakusihi tuwe watulivu kwenye kupiga kura na kupokea matokeo.Tatizo Tl ni zao la upinzani 100%. Hapa karata iliyobaki ni kukaa na wenye mamlaka ya chama.
Anapitiliza ndio maana wanamshona kwa marisasi.Jamani Lissu ana kera. Anakera bila kuvunja sheria huyu ndiyo Mgombea tulimsubiri kwa miaka nenda rudi.
Mwaka 2015 hakukuwa na unyanyasaji kwa wapinzani watumishi wa umma walikuwa wakilipwa nyongeza za mishahara lakini sasa 2020 kuna mabaya mengi kupitiliza utawala huu umewatesa wengi kwa njia mbalimbaliChadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter msigwa alipata kusema maana ya insanity.
Hata Lowassa na Mrema walikuwa nayo kipindi hicho leo hii wako wapi.Duuuh! Hiyo nyomi sio mchezo asee
Na serikali ipo kwa CCM kila mtu ashinde mechi zakeYaani density ya wananchi hapo ni kubwa kuliko ile ya Mekyuri!
Magufuli aione hiyo, ajue kuwa upinzani upo mioyoni mwa watu
Hii ni Afrika..........utashangazwaMwaka 2015 hakukuwa na unyanyasaji kwa wapinzani watumishi wa umma walikuwa wakilipwa nyongeza za mishahara lakini sasa 2020 kuna mabaya mengi kupitiliza utawala huu umewatesa wengi kwa njia mbalimbali
Mrema mwenyewe alikuwa nayo kuliko hata lowasaChadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter msigwa alipata kusema maana ya insanity.
CCM haijawahi kumshinda Lowasa kwenye sanduku. la kura!Hata lowasa na mrema walikuwa nayo kipindi hicho leo hii wako wapi.
Lisu kaamua kufunua vile vilifichwa kwa mda wa miaka mitano pindi jiwe kazuia mikutano ya siasaTundu Lissu anakera sana. Anaweza akasababisha mtu uende FIFA kufungua malalamiko.
Tawala za huko nyuma hazikuwa na unyanyasaji ukandamizaji wa Demokrasia kama utawala huu wa jiweMrema mwenyewe alikuwa nayo kuliko hata lowasa
Sijasema kushinda nasema nyomi la watu hata huyo akishinda ni ngumu kupewa labda umoja wa mataifa uingilie katiCCM haijawahi kumshinda Lowasa kwenye sanduku. la kura!
Mungu kaamua sasa aseme Ukweli ingawa wajinga huona kama anapitiliza lakini Ukweli hauna kupitiliza lazima watanzania wajue mapungufu ya utawala wa jiwe kwa uwaziAnapitiliza ndio maana wanamshona kwa marisasi.
Kazi IPO.Sawa mkuu. Nakusihi tuwe watulivu kwenye kupiga kura na kupokea matokeo.
Kipindi cha lowasa watanzania walikuwa na furaha hakukuwa na unyanyasaji mwingi kama uliopo sasaSijasema kushinda nasema nyomi la watu hata huyo akishinda ni ngumu kupewa labda umoja wa mataifa uingilie kati
Pamoja na hilo ila kupewa nchi ni pagumu kwa kweli.kwanza kabla ya matokeo mtu atawekwa chini ya ulinzi alafu matokeo anasomwa mtu mwingine anaapishwa alafu mtu unachiwa na katiba inasema rais akishaapishwa hairuhisiwi ashtakiwe hadi amalize mda wake sasa hapo kuna nini tenaTawala za huko nyuma hazikuwa na unyanyasaji ukandamizaji wa Demokrasia kama utawala huu wa jiwe
Ok tuombe uzima tusubiri matokeoKipindi cha lowasa watanzania walikuwa na furaha hakukuwa na unyanyasaji mwingi kama uliopo sasa