Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Sawa mkuu. Nakusihi. Tuwe watulivu siku ya kupiga kura. Lakini tuamini asiyekubali kushindwa si mshindani. Wote sisi ni watanzania na watakao chaguliwa ni watanzania wenzetu. Tuwe watulivu na tuyapokee matokeo kwa njia ya amani. Atakaye fanya uvunjifu wa amani, atakutana na wahusika wa hizo mambo.
Ile idadi haiedhibitiki kukitokea Fuji.
 
Chadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter msigwa alipata kusema maana ya insanity.
Mwaka 2015 hakukuwa na unyanyasaji kwa wapinzani watumishi wa umma walikuwa wakilipwa nyongeza za mishahara lakini sasa 2020 kuna mabaya mengi kupitiliza utawala huu umewatesa wengi kwa njia mbalimbali
 
Mwaka 2015 hakukuwa na unyanyasaji kwa wapinzani watumishi wa umma walikuwa wakilipwa nyongeza za mishahara lakini sasa 2020 kuna mabaya mengi kupitiliza utawala huu umewatesa wengi kwa njia mbalimbali
Hii ni Afrika..........utashangazwa
 
Tawala za huko nyuma hazikuwa na unyanyasaji ukandamizaji wa Demokrasia kama utawala huu wa jiwe
Pamoja na hilo ila kupewa nchi ni pagumu kwa kweli.kwanza kabla ya matokeo mtu atawekwa chini ya ulinzi alafu matokeo anasomwa mtu mwingine anaapishwa alafu mtu unachiwa na katiba inasema rais akishaapishwa hairuhisiwi ashtakiwe hadi amalize mda wake sasa hapo kuna nini tena
 
Back
Top Bottom