Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Tume huru ya uchaguzi ipo? au unaisemea ile tume unayoundwa na kada wa ccm?
 
Nayo ni ajenda ya chama.

Hongera kwa chama na kwake pia
 
Mungu malaika watashuka watazuia ushetani wote wa ccm watashikwa na Ganzi kubwa watajikuta wamekubali kakaa pembeni na upinzani kuingia ikulu kuleta Uhuru toka kwa Mkoloni mweusi tokea chato
 
Duuuh! Hiyo nyomi sio mchezo asee
Wakati wa kampeni arudi palepale kuhutubia kuomba kura. Kisha linganisha ukubwa wa umati huo na wa leo baadaye na kura atakazopata kwenye uchaguzi. Na hapo ndipo utawajua watanzania kuwa walikuwa 'wanamchora'!
 
Mikoa 15 mingi. Unajua watu 2m wakiandamana nchi zima ni tatizo sana. M2 tu. That's why Tl hakutakiwa kugombea. Bm ni mwelewa.
Si kila mtu ataandamana kwenye kila mkoa...lakini wakitokea watu laki na nusu kila mkoa kazi kwisha....Lisu bado ni hatari inayotembea.
 
Wakati wa kampeni arudi palepale kuhutubia kuomba kura. Kisha linganisha ukubwa wa umati huo na wa leo baadaye na kura atakazopata kwenye uchaguzi. Na hapo ndipo utawajua watanzania kuwa walikuwa 'wanamchora'!
Hakika akili ni nywele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…