Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Ni kweli kila nyakati ni tofauti na ukumbuke influence ya matokeo ya mzee wa Lupaso(R.I.P) in those years
Chadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter Msigwa alipata kusema maana ya insanity.
 
Usiwe lodilofa// ukumbuke ipo pressure kutoka jumuiya za kimataifa
Pamoja na hilo ila kupewa nchi ni pagumu kwa kweli.kwanza kabla ya matokeo mtu atawekwa chini ya ulinzi alafu matokeo anasomwa mtu mwingine anaapishwa alafu mtu unachiwa na katiba inasema rais akishaapishwa hairuhisiwi ashtakiwe hadi amalize mda wake sasa hapo kuna nini tena
 
Chadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter Msigwa alipata kusema maana ya insanity.
Labda wengi hawakuwepo tuwakumbushe
Screenshot_20200820-031917.jpg


Na wakumbuke alihamia Cdm na mtaji wa wapiga kura, kamati kuu, wajumbe, pesa za kutosha....
 
Labda wengi hawakuwepo tuwakumbushe
View attachment 1542577

Na wakumbuke alihamia Cdm na mtaji wa wapiga kura, kamati kuu, wajumbe, pesa za kutosha....
Kampeni bado, lowasa 2015 kura zilitosha tena sana, na ndiyo sababu ya jpm kuzuia shughuli za kisiasa maana alijua kabisa ikifika 2020 hata kuiba kura watashindwa sasa.
 
Idadi ya wagombea wa CCM inashinda hao wanayo vumisha, Maelfu wampokea Lissu. Lakini kitendo cha CCM kujivunia jezi zao mtaani ni ishara nyingine awamu ya 5 kazi ccm wameifanya. Odinga hapo Kenya kuna picha ya mtandaoni kavaa shati la jezi ya CCM.

Lissu anajitahidi sana kuongea maneno ya kukera na kuudhi dhidi ya Rais Magufili, lakini kasahau JPM ni master of human psychology, anamuangalia kamchunia. Lissu anabakia kuteseka nini kinachopikwa. Hanabudi kusubiri mpaka muda ukifika atapakuliwa.

Lissu anamadhaifu mengi mno katika hizi kauli zake za upayukaji na ndio maana ukitulia na ukawa makini kumtuliza ni rahisi sana.

Lakini ni muhimu wakati ukifika Lissu na umeshafika ni sasa aambiwe ukweli, wala msimdanganye hamna namna ataweza shinda uchaguzi huu. Hilo haliko, asiachiwe tu uwanja na kuangaliwa tu akiulaghai umma na mataifa mengine ya nje kuwa anakubalija na kesha shinda. Wakati wa kura akishashindwa kihalali ataleta matatizo yale ambayo wameshapanga na mabeberu ya kuitisha maandamano ya kuhamasisha uasi.

Kwangu mimi naona si sawa huyu aachiwe kuongea kila anachojisikia kuongea na kila anachotaka kuwaaminisha wale wanao msikiliza hata kama ni uongo na upotoshaji. Uongo ukaachwa kukanushwa na ukaendelea kuongelewa kwa kurudiwa rudiwa hugeuka na kuonekana ndio ukweli huo. Hivyo ni vizuri mbinu za kukabiliana na huyu anaye ongea kauli za kuandaa waasi watarajiwa akabiliwe mapema kabla ya kuanza kukumbuka shuka wakati kumesha kucha. Makosa haya yalifanyika awamu iliyopita kukatokea mapinduzi ya kutumia pambio la chama ingawa baadaye yalizimwa. Lissu si wakumchekea.
Kumbe hata nyinyi maccm, mshaanza kuona kuwa Tundu Lissu hakamatiki kwenye kampeni zake?

Tulieni dawa iingie vizuri
 
Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.

Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa vyombo vya habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.

Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.

Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.

Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.


Lissu ni zawadi kutoka mbinguni,
Jiwe na kamati yake ya shetan roho zawauma sana, mtachonga viazi
 
Umuhimu si utaelezwa kwenye kampeni na ruzuku si ndiyo inatumika kwenye hizo kampeni sasa ikufikie wewe unashindwa kuitaka serikali iongeze mshahara unataka kula pesa ya ruzuku tena mbona unataka kuturudisha nyuma matumizi ya ruzuku si yanapngwa na vikao halali vya chama kwa kutumia wawakilishi wako


😆😅😄😃mkuu wana Ruzuku yakugawa ili nile hao?.

Nilimaanisha watawawezesha wajumbe wao kifedha ili wawahubirie kiurahisi vichakani huko juu ya umuhimu wa kumchagua LISSU.

MAANA CHADEMA WENGI WAO WANAAMINI WAPIGA KULA WAO WAPO MJINI na wa vijijini ni mahopeless mitaji ya CCM.

Yaani wanawekeza nguvu mjini alafu wanataka na kura za wavijijini.
 
Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.

Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa vyombo vya habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.

Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.

Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.

Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.

Miwani ya huyo jamaa ni miwani ya macho ya kawaida? Naona iko tofauti sana na hii ya kwangu
 
Nilitaka nipite hiiviiii bila kuandika chochote kile. Umati nimeuelewa saaanaa km nilivyouelewa ule wa Lowasa. Ila mnapokwama wapinzani ni kupiga kura.. Kwa nn nasema kupiga kura, kwa sababu hapo utakuta waliojiandikisha kupiga kura ni 20% tuu ya nyomi lote uonalo... Pia vijijini ndani ndani hamuendi. Ccm wako kamili ktk kujiandikisha kupiga kura.

NAWAOMBA NDUGU ZANGU TAREHE YA KUPIGA KURA IKITANGAZWA TUTOKE KWA WINGI TUKAPIGE KURA, TUSIONGEE MITANDAONI TU.

MM NINA KAULI MBIU YANGU, MKONO UKAFANYE KAZI...
 
Back
Top Bottom