Chadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter Msigwa alipata kusema maana ya insanity.
Tundu Lissu anakera sana. Anaweza akasababisha mtu uende FIFA kufungua malalamiko.
Pamoja na hilo ila kupewa nchi ni pagumu kwa kweli.kwanza kabla ya matokeo mtu atawekwa chini ya ulinzi alafu matokeo anasomwa mtu mwingine anaapishwa alafu mtu unachiwa na katiba inasema rais akishaapishwa hairuhisiwi ashtakiwe hadi amalize mda wake sasa hapo kuna nini tena
Labda wengi hawakuwepo tuwakumbusheChadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter Msigwa alipata kusema maana ya insanity.
Ndio ruzuku iko inafika mpk nyingine tunazificha ndani ya kofia.Vipi ruzuku ya chama chenu itatufikia huku japo kwa kutuelimisha tu umuhimu wa kumchagua LISSU?
Kampeni bado, lowasa 2015 kura zilitosha tena sana, na ndiyo sababu ya jpm kuzuia shughuli za kisiasa maana alijua kabisa ikifika 2020 hata kuiba kura watashindwa sasa.Labda wengi hawakuwepo tuwakumbushe
View attachment 1542577
Na wakumbuke alihamia Cdm na mtaji wa wapiga kura, kamati kuu, wajumbe, pesa za kutosha....
Kumbe hata nyinyi maccm, mshaanza kuona kuwa Tundu Lissu hakamatiki kwenye kampeni zake?Idadi ya wagombea wa CCM inashinda hao wanayo vumisha, Maelfu wampokea Lissu. Lakini kitendo cha CCM kujivunia jezi zao mtaani ni ishara nyingine awamu ya 5 kazi ccm wameifanya. Odinga hapo Kenya kuna picha ya mtandaoni kavaa shati la jezi ya CCM.
Lissu anajitahidi sana kuongea maneno ya kukera na kuudhi dhidi ya Rais Magufili, lakini kasahau JPM ni master of human psychology, anamuangalia kamchunia. Lissu anabakia kuteseka nini kinachopikwa. Hanabudi kusubiri mpaka muda ukifika atapakuliwa.
Lissu anamadhaifu mengi mno katika hizi kauli zake za upayukaji na ndio maana ukitulia na ukawa makini kumtuliza ni rahisi sana.
Lakini ni muhimu wakati ukifika Lissu na umeshafika ni sasa aambiwe ukweli, wala msimdanganye hamna namna ataweza shinda uchaguzi huu. Hilo haliko, asiachiwe tu uwanja na kuangaliwa tu akiulaghai umma na mataifa mengine ya nje kuwa anakubalija na kesha shinda. Wakati wa kura akishashindwa kihalali ataleta matatizo yale ambayo wameshapanga na mabeberu ya kuitisha maandamano ya kuhamasisha uasi.
Kwangu mimi naona si sawa huyu aachiwe kuongea kila anachojisikia kuongea na kila anachotaka kuwaaminisha wale wanao msikiliza hata kama ni uongo na upotoshaji. Uongo ukaachwa kukanushwa na ukaendelea kuongelewa kwa kurudiwa rudiwa hugeuka na kuonekana ndio ukweli huo. Hivyo ni vizuri mbinu za kukabiliana na huyu anaye ongea kauli za kuandaa waasi watarajiwa akabiliwe mapema kabla ya kuanza kukumbuka shuka wakati kumesha kucha. Makosa haya yalifanyika awamu iliyopita kukatokea mapinduzi ya kutumia pambio la chama ingawa baadaye yalizimwa. Lissu si wakumchekea.
Wameingia period leoBashiru na Polepole wanaugua tumbo la kuhara wakitazama video hiyo
UsilolijuaAliyetoa wazo la kumpiga risasi alikosea Sana....ona matokeo yake sasa.
Ndio ruzuku iko inafika mpk nyingine tunazificha ndani ya kofia.View attachment 1542578
Lissu ni zawadi kutoka mbinguni,Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.
Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa vyombo vya habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.
Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.
Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.
Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.
Umuhimu si utaelezwa kwenye kampeni na ruzuku si ndiyo inatumika kwenye hizo kampeni sasa ikufikie wewe unashindwa kuitaka serikali iongeze mshahara unataka kula pesa ya ruzuku tena mbona unataka kuturudisha nyuma matumizi ya ruzuku si yanapngwa na vikao halali vya chama kwa kutumia wawakilishi wako
Labda wengi hawakuwepo tuwakumbushe
View attachment 1542577
Na wakumbuke alihamia Cdm na mtaji wa wapiga kura, kamati kuu, wajumbe, pesa za kutosha....
Mwachie Malaika Mkuu.Usilolijua
Miwani ya huyo jamaa ni miwani ya macho ya kawaida? Naona iko tofauti sana na hii ya kwanguAkiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.
Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa vyombo vya habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.
Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.
Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.
Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.
Lowasa aliibiwaChadema kumbukeni mafuriko ya mzee Slaa na mzee lowassa. Lakini ccm ilishinda. Bungeni mhe Peter Msigwa alipata kusema maana ya insanity.