Ilikuwa ni kosa kubwa kuzuia mikutano ya vyama vya siasa kwa miaka 5. Wananchi wamekuwa kama wamefunguliwa kifungoni kwa kukosa uhuru.Alibugi stepu sana
Mungu anafanyakazi in a mysterious way
Walidhani wameshaudhibiti upinzani lakini ona sasa
Chadema ndio waone, hakuna kitu kipya alichokuja nacho lissu. Labda kutumiwa na mabeberu.Labda wengi hawakuwepo tuwakumbushe
View attachment 1542577
Na wakumbuke alihamia Cdm na mtaji wa wapiga kura, kamati kuu, wajumbe, pesa za kutosha....
Ilikuwa ni kosa kubwa kuzuia mikutano ya vyama vya siasa kwa miaka 5. Wananchi wamekuwa kama wamefunguliwa kifungoni kwa kukosa uhuru.
Sio maslahi mapana ya Taifa sema maslahi mapana ya chama . Wenye Taifa hili ni sisi wananchi sio kikundi kichache cha waoga kinachomtetemekea kinyango mlichokichonga wenyewe.Wewe ni wa hovyo na mbinafsi kama huyo Lissu hayo Dodoma yamekujaje hapa? Hapa tunazungumzia maslahi mapana ya taifa, na kukataa viashiria vya kusambaratisha nchi hii.
Asubiri kampeni ataijua vizuri CCM!Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi.
Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa Vyombo vya Habari nchini, watumishi wa umma kutopewa maslahi yao ipasavyo, kero za wafanyabiashara ndogondogo hususan vitambulisho vya wamachinga vya sh 20000, Viongozi wa dini ya waislamu walioko jela kinyume cha haki, uonevu dhidi ya vyama vya siasa, kero ya wafanyabiashara kubambikiziwa kodi na TRA na kusema kuwa watavikomesha hivyo october 28.
Na pia, akampiga kijembe Rais Magufuli kuwa badala ya kuhangaika kuweka bando la internet ili kuwatazama wapinzani kwenye WhatsApp, afungulie vyombo vya habari ili awaone kupitia vyombo rasmi vya habari.
Hapo Tunduma OCD wa sehemu hiyo alijaribu kuwazuia wananchi kwenda mkutanoni, lakini alishindwa kuwathibiti wananchi maana walikuwa ni wengi mno.
Kwa taarifa zaidi muone yeye mwenyewe Tundu Lissu.
Asubiri kampeni ataijua vizuri CCM!
Walivyomuacha, akamaliza maneno yote, risasi zote akafikiri CCM haipo!
CCM ni dola, ni pesa, inamiliki vyote !
Ibeni muone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watetezi wa MabeberuChadema ndio waone, hakuna kitu kipya alichokuja nacho lissu. Labda kutumiwa na mabeberu.
mkuu kwa sasa ni kimbunga 2020...Yani bora wangemuachaga tu wamsumbue na makesi na kumuweka ndani kila mara pengine ingesaidia... Yani huyu lissu wa sasa ni nafuu yule wa kabla ya september 7'17.!
why hushughulike nae ali hali kama una uakika uchaguzi utakua fair na atakaeshinda kahalali atangazwe, unafikili kutakua na shida gani? swala hapa sio kushughulika na mtu mmoja swala ni kushughulika na vyama vyote washirika na tume namanisha.Hakuna linaloshindikana chini ya jua kinachotakiwa ni umakini katika kushughilika naye, maana ukisikiliza uropokaji wake amekamia kwelikweli ikikibidi hata taifa hili lisambaratike.
Ni mgombea mmoja Hadi leo anapiga kelele utafikiri Kuna watu amewapa kura wamtunzie!why hushughulike nae ali hali kama una uakika uchaguzi utakua fair na atakaeshinda kahalali atangazwe, unafikili kutakua na shida gani? swala hapa sio kushughulika na mtu mmoja swala ni kushughulika na vyama vyote washirika na tume namanisha.
Tume ihakikishe uchaguzi uwe wa haki na halali na alieshida atangazwe , bila kusahau kula kuesabiwa kwa uwazi, na kumtangaza mshindi halali , na hapa sidhani kama kutakua na chama kitaleta shida , sasa wakati tunaangalia vyama vya upinza na misimamo yao kuelekea uchaguzi mkuu lakin hatuangalii na hatujui mpaka sasa msimamo wa chama dola kwamba je watakua tiyari kukubali ikitokea wakashindwa au itakua ni lazima ushindi uwepo na hapo ndo matatizo yanaweza kuanzia,
Sio maslahi mapana ya Taifa sema maslahi mapana ya chama . Wenye Taifa hili ni sisi wananchi sio kikundi kichache cha waoga kinachomtetemekea kinyango mlichokichonga wenyewe.