Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatakiwa kuwa kama Marekani wanafanya kampeni muda wowoteImagine mtu kaanza kujaza fomu za makamu Mwenyekiti mwaka jana, leo kaibukia kwenye uenyekiti, ni nini kinamsibu Lissu? Tamaa?
Amefanya kosa gani?Imagine mtu kaanza kujaza fomu za makamu Mwenyekiti mwaka jana, leo kaibukia kwenye uenyekiti, ni nini kinamsibu Lissu? Tamaa?
Ila Chawa wa MamaSamia2025 mna mtindio wa akili bila shaka...Imagine mtu kaanza kujaza fomu za makamu Mwenyekiti mwaka jana, leo kaibukia kwenye uenyekiti, ni nini kinamsibu Lissu? Tamaa?
🐕Watiifu katika ubora wao!Imagine mtu kaanza kujaza fomu za makamu Mwenyekiti mwaka jana, leo kaibukia kwenye uenyekiti, ni nini kinamsibu Lissu? Tamaa?
Chiembe deserves a day in courtUkishaona thread ya Chiembe tu nitakuelewa kama ukiamua kuipotezea kama propaganda za siasa za majitaka.
Yani kama nakuwa Jaji kwenye kesi yako ya kuidharau thread na kuipotezea kabisa, halafu utetezi wako ukawa
"Mheshimiwa Jaji lakini thread imeanzishwa na Chiembe, anajulikana kuanzisha thead za ovyo za propaganda za siasa majitaka, nikaamua kuipotezea tu"
Kwa kuangalia ushajidi wa threads za JF, nai dismiss case hapo hapo na naamuru gharama za kupotrzewa muda na kuendesha kesi ulipwe.
Lissu sio mrithi wa Mbowe. Ni mtu mwenye tamaa na adui wa demokrasia. Mbowe hana mpango wowote wa kuachoa uenyekiti. Lissu ni kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMAIla Chawa wa MamaSamia2025 mna mtindio wa akili bila shaka...
Mashambulizi yenu siku zote yalikuwa kwa Freeman Mbowe mng'ang'ania madaraka na kwamba hakuwa na succession plan ya kurithisha uongozi wake...
Leo ameamua mwenyewe amwachie mtu mwingine aitwaye Tundu Lissu, ghafla Freeman Mbowe kawa mzuri tena...?
We know, Chawa na CCM kwa ujumla hamkutarajia kuwa uenyekiti wa CHADEMA ungeangukia kwa huyu mwamba aliyekwisha kushindikikana kwa kifo na mauti, kutekwa, kuhongeka na kila aina ya mbinu ovu za CCM juu ya ubinadamu...
Mtu mwenye ufahamu na maarifa mengi ambayo ni silaha kuu ya mapambano ktk ulimwengu huu wa uovu...
Mtu mwadilifu, mpenda haki na anayechukia dhuluma, mtu msema kweli hadharani na sio gizani...
Hili hamkurajia. Lakini ndiyo huyu, ndiye yeye....
Kwa heri...
Chiembe had his day in court but was judged to be a fivolous charlatan whose incessant jesting is a notorious nuisance and costly waste of taxpayers money.Chiembe deserves a day in court
🚮🚮🚮Lissu sio mrithi wa Mbowe. Ni mtu mwenye tamaa na adui wa demokrasia. Mbowe hana mpango wowote wa kuachoa uenyekiti. Lissu ni kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA
Eleza kwa uthibitisho usio na shaka ni kwa namna gani Tundu Lissu;Lissu sio mrithi wa Mbowe. Ni mtu mwenye tamaa na adui wa demokrasia. Mbowe hana mpango wowote wa kuachoa uenyekiti. Lissu ni kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA