Uchaguzi 2020 Lissu anaongelea tu Serikali za Majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji zitatoka wapi

Uchaguzi 2020 Lissu anaongelea tu Serikali za Majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji zitatoka wapi

Sera yenu msingi wake ni udikteta na kubinya uhuru wa kuchagua viongozi wananchi wanaowataka. Mnataka ma RC na maDC makada wa chama chenu ndiyo waongoze majimbo mikoa na wilaya. Wakati hawajachaguliwa hata kwa kura moja na wananchi na walio wengi ni walioshindwa ubunge. Msingi wa utawala wa majimbo ni wananchi kuongozwa na viongozi waliowachagua wenyewe, siyo sasa tunadanganyika tunachagua viongozi kumbe ni wawakilishi tu wasio na mamlaka ya kuagiza hata choo cha tundu moja kijengwe, mamlaka yote yapo kwa mawaziri, madc, marc na maDED ambao HAKUNA HATA MMOJA ANAYECHAGULIWA NA WANANCHI. NO POLITICAL LEADER SHOULD COME INTO POWER WITHOUT BEING ELECTED BY VOTES OF THE POWER THROUGH A BALLOT BOX

Maisha hayaishii kwenye utawala pekee, tanashuka kwenye mahusiano ya wananchi.

Yanashuka kwenye matumizi ya rasilimali za nchi.

Ubaya ya mfumo wa majimbo ni ule uchoyo kwamba rasilimali hii isiguswe na majimbo mengine.

Kinachopatikana Mtwara kinatumika kwa faida ya nchi nzima.

Kinachopatikana Kagera kinatumiwa kwa faida ya nchi nzima na hiyo ndio maana ya umoja.
 
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.

Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.

Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?

Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.

Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
Hiyo inaeleweka dunia nzima kuna pato linaenda serikali kuu na kutawanywa nchi nzima na asilimia fulani inabaki jimboni. Na kuna vyanzo vya mapato ni vya jimbo na vingine serikali kuu kama ilivyo katika muungano, kuna mambo ya muungano na siyo ya muungano, ni swala la sheria kuamua. Rais tutamjua kwa jinsi alivyoongoza jimbo lake. Mfumo mzuri sana huu ndiyo uhuru wa kisiasa siyo sasa tunadanganywa tu na kuchagua wabunge mere representatives not leaders
 
Kwani mfumo tulionao tumeiga wapi chief? Serikali kuu imehodhi mamlaka yote,mapato yote lazima yaende serikali kuu,walioko juu hawajui vipaumbele vya busokelo huko. Devolution ndiyo the way forward tukiachana na milengo yetu ya kisiasa.
Busokelo wanae mbunge watakayempata kwa kumpigia kura, kazi yake ni kuwa karibu na wananchi.

Watachagua diwani pia, kazi yake ni kutetea maslahi ya wapiga kura.
 
Sera ya majimbo msingi wake ni ubinafsi, ukabila na roho ya uchoyo.

Ni sera ambayo imechukuliwa kutoka nje pasipo kuangalia msingi wa utaifa wetu.

Msingi wa utaifa wa Marekani ni tofauti na ule wa Russia ni tofauti na ule wa Zambia ni tofauti na ule ww Afrika ya Kusini.

Ni sera ambayo ukiitazama kwa juu juu unaweza kudanganyika.
Mkuu, hapa itakuwa ni uelewa wako mdogo kwenye hii issue. Unapotoa mfano wa USA ... yale siyo majimbo ni states. Yaani nchi zimeungana kuunda taifa la Marekani kama sisi tulivyoungana na Zanzibar.
 
Muwe mnaongea kwa fact sio kupinga tu eti kisa hoja hiyo imetolewa na mtu wa upinzani huo nao ni mpasuko wa kitaifa kudhan kwamba hoja ya mpinzani wako kisiasa si hoja hata kama inamashiko.

Majimbo kiukweli kabisa yatapunguza gharama za uendeshaji kwa kiasi kikubwa sana sana tofauti nanilivyo hivi sasa mkoa mmoja au wilaya ina utitili wa mabosi hadi wao kwa wao hawaju nani mkuwa wa mwenzie wanaishia kufokeana majukwaani kama watoto
Hata utawala wa majimbo unazo changamoto zake nyingi tu, nenda kazitembelee nchi zenye majimbo utazifahamu kwa ukaribu.
 
Mkuu, hapa itakuwa ni uelewa wako mdogo kwenye hii issue. Unapotoa mfano wa USA ... yale siyo majimbo ni states. Yaani nchi zimeungana kuunda taifa la Marekani kama sisi tulivyoungana na Zanzibar.

Mimi nitakuwa wa kwanza kuunga mkono jimbo la Tanzania iwapo wataibuka kina Kwame Nkrumah wa miaka ya sasa watakaoanzisha wazo la United States of Africa.
 
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.

Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.

Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?

Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.

Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
Hii hoja ya majimbo imewapagawisha sana aiseee

Huelewi hela zinatoka kwenye mapato yote ya jimbo zima yanabaki hapo hapo percent kidogo ndio inaenda federal government..

Nyie mnafanya kinyume,mapato yote yanaenda federal government kwanza halafu kijipercent kidogo ndio kinarudi kwenye mkoa...yaani mavi matupu..

Lissu kawamaliza na hii hoja mmechanganyikiwa sana..na anajua kuieleza vizuri na cha ajabu wananchi wametokea kuielewa vizuri sana mmebaki kupaniki

Lissu ni genius,hamumuwezi mamaeee zenu vilaza
 
Mimi nitakuwa wa kwanza kuunga mkono jimbo la Tanzania iwapo wataibuka kina Kwame Nkrumah wa miaka ya sasa watakaoanzisha wazo la United States of Africa.
Sababu zipi zinakufanya uunge mkono UNiated Staes of Africa. Hapa tu tayari tuna changamoto ya EAC ambayo kila siku tunalalamika kuwa Kenya wanataka ardhi na kazi zetu.
 
Sababu zipi zinakufanya uunge mkono UNiated Staes of Africa. Hapa tu tayari tuna changamoto ya EAC ambayo kila siku tunalalamika kuwa Kenya wanataka ardhi na kazi zetu.
Sera ya majimbo kwa bara zima ina mantiki na faida kwa waafrika kuliko hii ya ndani ya nchi moja moja.
 
Uchoyo utatoka wapi?

Mbona nyie kwa mfumo wa sasa ndo mnafanya uchoyo na ubaguzi? Kwa nini Magufuli alisema hawezi kujenga stand jimboni kwa mbunge Bwege kwa sababu ni mpinzani?

Kwa ini Magufuli amesema wazi mchana kweupe kwenye kampeni zake kuwa hawezi peleka maendeleo sehemu watakazochagua wapinzani?
Wakati kodi anachukua!!
 
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.

Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.

Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?

Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.

Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
tuanzie hapa ..
hela za kujengea uwanja wa ndege CHATO zimetoka wapi? unazani huu mradi hatujui kuwa MEKO na mme mwenzie wachota hela kushirikiana na MPWA wao kupitia mradi huu
hela za STIGILAZi JOJI🙄😛 hela za SGR miradi iliyododa hela zimetoka wapiii?
 
Hii hoja ya majimbo imewapagawisha sana aiseee

Huelewi hela zinatoka kwenye mapato yote ya jimbo zima yanabaki hapo hapo percent kidogo ndio inaenda federal government..

Nyie mnafanya kinyume,mapato yote yanaenda federal government kwanza halafu kijipercent kidogo ndio kinarudi kwenye mkoa...yaani mavi matupu..

Lissu kawamaliza na hii hoja mmechanganyikiwa sana..na anajua kuieleza vizuri na cha ajabu wananchi wametokea kuielewa vizuri sana mmebaki kupaniki

Lissu ni genius,hamumuwezi mamaeee zenu vilaza

Bila ya matusi kichwa chako ni kama hakiwezi kufanya kazi.

Sera ya majimbo msingi wake ni ubinafsi na uchoyo haina upendo wa kitaifa ndani yake.

Wale wenye rasilimali chache wafe na umaskini wao na wale wenye utajiri waishi vizuri kivyao!!.

Nchi itasambaratika mapema sana kwani serikali kuu haitaweza kuyashinda malalamiko ya majimbo yatakayoachwa nyuma.
 
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.

Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.

Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?

Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.

Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
kwani hela za kuendesha mikoa na wilaya zinatoka wapi?
 
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi.

Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo.

Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?

Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe.

Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio.
Kwani TSH ngapi Mkuu?
 
Sera ya majimbo msingi wake ni ubinafsi, ukabila na roho ya uchoyo.

Ni sera ambayo imechukuliwa kutoka nje pasipo kuangalia msingi wa utaifa wetu.

Msingi wa utaifa wa Marekani ni tofauti na ule wa Russia ni tofauti na ule wa Zambia ni tofauti na ule ww Afrika ya Kusini.

Ni sera ambayo ukiitazama kwa juu juu unaweza kudanganyika.

Serikali kuu ndio inayoleta ubinafsi, ukabila, udini na roho ya uchoyo.

Msikilize mgombea wako anavyowabagua wale wanaochagua upinzani. Mgombea wako ni sawa na nyoka mwenye ndimi mbili.

Zipo kanda zilizobaguliwa tokea nchi hii ipate Uhuru, ukienda kuwauliza suluhisha la kubaguliwa kwao watakwambia bora tujitenge.

Chadema kwa kuliona hilo inataka kwanza kuwapa Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao, Uhuru zaidi kwenye uchumi wao na utamaduni wao
 
Back
Top Bottom