Uchaguzi 2020 Lissu anaweza kuleta uchaguzi mgumu kuwahi tokea

Uchaguzi 2020 Lissu anaweza kuleta uchaguzi mgumu kuwahi tokea

Janjawid

Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
93
Reaction score
185
Katika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashiria kadhaa

1. Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa imetumia nguvu kubwa sana kumzuia
2. Amefinguliwa kesi nyingi sana kuliko MTU yoyote Tanzania
3. Ameshinda ubunge huku rais wa Awamu ya NNE akisema ni bora slaa ashinde kuliko Lissu kushinda lakini jamaa alitoboa
4. Ameshinda mauti awamu ya kwanza nani ataweza kuondoa uhai wake?

Huyu MTU sio wa kawaida kuna kusudi la Mungu katika huyu jamaaa
 
IMG_20200531_072737_186.jpg
 
Katika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashilia kadha
1.Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa imetumia nguvu kubwa sana kumzuia
2.Amefinguliwa kesi nyingi sana kuliko MTU yoyote Tanzania
3.Ameshinda ubunge huku rais wa Awamu ya NNE akisema ni bora slaa ashinde kuliko Lissu kushinda lkn jamaa alitoboa
4.Ameshinda mauti awamu ya kwanza nani ataweza kuondoa uhai wake?
Huyu MTU sio wa kawaida kuna kusudi la Mungu katika huyu jamaaa
Lissu The Greatest
 
Kila ukiwaza Magufuli atapambanaje na Lisu kwenye kampeni, unaona bora ujitoe muhanga. Na vile umelewa pombe mbovu, hapa ndio unaanika hofu na chuki yako wazi hadharani.
Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .

Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
 
Katika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashilia kadha
1.Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa imetumia nguvu kubwa sana kumzuia
2.Amefinguliwa kesi nyingi sana kuliko MTU yoyote Tanzania
3.Ameshinda ubunge huku rais wa Awamu ya NNE akisema ni bora slaa ashinde kuliko Lissu kushinda lkn jamaa alitoboa
4.Ameshinda mauti awamu ya kwanza nani ataweza kuondoa uhai wake?
Huyu MTU sio wa kawaida kuna kusudi la Mungu katika huyu jamaaa
Mwenye masikio na asikie Bwana Ananena na Kanisa.
 
Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .

Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Hehehee we dogo wa Tandale acha kujimwambafy. Unajipa umuhimu usiokuwa nao
 
Toto Tundu haliwezi kufanya lolote lile. Naona limeshindwa kuendelea na ushoga.
 
Back
Top Bottom