Uchaguzi 2020 Lissu anaweza kuleta uchaguzi mgumu kuwahi tokea

Uchaguzi 2020 Lissu anaweza kuleta uchaguzi mgumu kuwahi tokea

Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .

Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Hakuna Kafiri mwenye ujasiri wa kukata shingo ya mtu. Hayo ni makelele kama yale mengine tu. Ova
 
Wewe nimpumbavu huna akili, na mjinga mshenzi mkubwa ndio maana umepigwa chini kisa upumbavu wako, wakutotambua muda sahihi wa nini ufanye wa nini uache.Unatishia kuua mtu wewe dunia hii utaishi milele, ndio maana unahangaika sana kutafuta uzazi maana Mungu anajua akikupa uzao mkubwa utahangaisha wanao dunia hii na hawatoishi kwa amani. Pumbavu kabisa.
Mkuu, hv huyu YEHODAYA ni nani hasa? Kama anatishia kuua ni vzr akafahamika wazi wazi. Tuwekee jina lake hapa, pls
 
Hivi mtu anatoa comments za aina hii, ni kwanini Jeshi letu la Polisi lisimsake na kumfungulia mashitaka ya kujiapiza kutaka kuua?

Lazima ifahamike pia wale watu waliofanya jaribio la kutaka kumwua Lissu, hadi hivi sasa Jeshi letu la Polisi linatwambia ni watu wasiojulikana, ingawa kwa wajibu wa Jeshi la Polisi watakuwa "wanawafahamu"

Ni vyema Jeshi letu la Polisi likamkamata huyu mtu anayeitwa YEHODAYA likaanza naye uchunguzi wa tukio la kumiminiwa risasi Lissu
Mods waweke wazi identity ya huyu muuaji
 
Lissu ni zawadi ya Mungu kuja kuwakomboa watanzania.
Katika historia ya Tanzania mwaka huu tunaenda kuona uchaguzi wa aina yake na uenda Mh Lissu akawa Rais wa Sita wa Tanzania kuna viashiria kadhaa

1. Alishinda urais wa TLS huku serikali ikiwa imetumia nguvu kubwa sana kumzuia
2. Amefinguliwa kesi nyingi sana kuliko MTU yoyote Tanzania
3. Ameshinda ubunge huku rais wa Awamu ya NNE akisema ni bora slaa ashinde kuliko Lissu kushinda lakini jamaa alitoboa
4. Ameshinda mauti awamu ya kwanza nani ataweza kuondoa uhai wake?

Huyu MTU sio wa kawaida kuna kusudi la Mungu katika huyu jamaaa
 
Lissu ndiye rais wa awamu ya sita baada ya uchaguzi wa October.
Niliwahi sema na leo narudia: Lissu kwa watanzania,ni kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.
Screenshot_20200724-072425.jpeg
 
Mods waweke wazi identity ya huyu muuaji
Huyu Mbona tumeshamgundua, ni muda tu! Tunasubiri H. E Tundu Antipas Lissu aapishwe hapo November 2020. Watu wa kwanza kuwawajibisha kwa uovu wao atakuwa huyu Yehodaya na washirika wake wote.

Gambia juzijuzi waliohusika na mauaji ya mwandishi aliyekuwa akimpinga raisi Jammeh takribani miaka 10 iliyopita wamejitokeza na kukiri hadharani mbele ya umma. Next watakuwa hawa kina Yehodaya hapa Tanzania
 
Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .

Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Shindwa na ulegee,unaombea kifo cha Mtanzania mwenzako?Hiyo chuki yote ni kumlinda Jiwe?
 
Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .

Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Utakufa wewe na ukoo wako wote hadharani. Manina
 
Back
Top Bottom