Unaishi kwa kukariri,Kwa vichekesho, vituko na vimbwenga kama hivi, Tuma neno Ufipa kwenda 2020.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi kwa kukariri,Kwa vichekesho, vituko na vimbwenga kama hivi, Tuma neno Ufipa kwenda 2020.
Unamfananisha Mussa na ........, humjui Mussa vizuri!Niliwahi sema na leo narudia: Lissu kwa watanzania,ni kama alivyokuwa Mussa kwa wana wa Israeli.
Wee Mussa unamjua vzr?Unamfananisha Mussa na ........, humjui Mussa vizuri!
Hii imani ni nzito sanaMbeba maono ya watanzania na rais wa awamu ya 6View attachment 1514185
Simjui namsoma kwenye maandiko. We ndio unamjua ndio maana unamfananisha na LissuWee Mussa unamjua vzr?
Misaada ya nini huku mkiwanangaSerious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .
Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Huyu Mbona tumeshamgundua, ni muda tu! Tunasubiri H. E Tundu Antipas Lissu aapishwe hapo November 2020. Watu wa kwanza kuwawajibisha kwa uovu wao atakuwa huyu Yehodaya na washirika wake wote.
Gambia juzijuzi waliohusika na mauaji ya mwandishi aliyekuwa akimpinga raisi Jammeh takribani miaka 10 iliyopita wamejitokeza na kukiri hadharani mbele ya umma. Next watakuwa hawa kina Yehodaya hapa Tanzania
Hivi mtu anatoa comments za aina hii, ni kwanini Jeshi letu la Polisi lisimsake na kumfungulia mashitaka ya kujiapiza kutaka kuua?
Lazima ifahamike pia wale watu waliofanya jaribio la kutaka kumwua Lissu, hadi hivi sasa Jeshi letu la Polisi linatwambia ni watu wasiojulikana, ingawa kwa wajibu wa Jeshi la Polisi watakuwa "wanawafahamu"
Ni vyema Jeshi letu la Polisi likamkamata huyu mtu anayeitwa YEHODAYA likaanza naye uchunguzi wa tukio la kumiminiwa risasi Lissu
Huyo ni prince mfalme.Mkuu, hv huyu YEHODAYA ni nani hasa? Kama anatishia kuua ni vzr akafahamika wazi wazi. Tuwekee jina lake hapa, pls
Sasa wewe fisi wa lumumba umefuata nini kwenye uzi wa nyumbu?Huu uzi ni wa Nyumba wa Ufipa kijifariji.
Nitamchagua asubuhi sana, Eeh Mungu nijalie afya & nguvuMbeba maono ya watanzania na rais wa awamu ya 6View attachment 1514185
Fisi wa Lumumba anawala Nyumbu wa Ufipa.Sasa wewe fisi wa lumumba umefuata nini kwenye uzi wa nyumbu?
tunakujua unataka uanze kupitiwa nayy anaruhusuAkishinda mimi nitafurahi mno , nitakuwa na furaha kuliko wakati wowote maishani mwangu
Wewe umepagawa na pepo la kifo hakika ukijaribu ujinga huo jumatatu ndio utakuwa mwisho wakoSerious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .
Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu
Kama ingekuwa ile JF niliyoijua wewe ungeisha pata ban zamani kwa kauli zako hizi,ila itoshe tu kusema wewe hujitambui,na bahati mbaya sana wewe sio mnufaika na mfumo ni mbwa anaebweka tu asie na madhara yoyote.Serious Lisu asichezee nchi innyimwe misaada or whatever tuko wazalendo watetea nchi wajukuu wa Nyerere aliyemtukana Lisu bungeni .
Lisu be prepared ukitua Tanzania mimi Ni mmojawapo sijali come what may may msalit I was nchi wewe shingo yako halali yangu